Kati ya UDOM na UDSM chuo kipi kinafaa

Kati ya UDOM na UDSM chuo kipi kinafaa

udsm kuna tatizo watu wanamaliza udsm tena phd wanashindwa kumster lugha ya malikia mimi nakushauri mwambie aende udom chuo cha kisasa
Lugha ya malikia inapatikana kwa miaka 3 au 4 ?
Nimejaribu kuwaza kwa sauti tuu
 
Chagua chuo unachokipenda na course unayoipenda.ubora unaoangaliwa hapo baada ya kumaliza chuo ni ubora wa akili yako na kitu ulichonacho kichwani na si nafasi au ubora wa chuo.
 
Hivi UDOM ilianza lini na UDSM ilianza lini,na chuo kipi ambacho kimezalisha madaktari wa falsafa pamoja na maprofesa wengi..,hata hivyo chuo kipi kati ya hivyo kina machapisho mengi kwenye ulimwengu wa taaluma.. na baada ya majibu yaliyopatikana kutokana na maswali hayo,we unadhani nikwanini iwe hivyo..,je imewahi kupata wasaa ukajiuliza baada ya miaka 25 hali itakuaje kimlinganisho kati ya UDSM na UDOM...?
Swali zuri lakini kwa fikra za kawaida hivi tunafikiri kuwa wakati chuo fulani kinafanya machapisho tafiti etc kingine kinasubiri?
Udsm ina nafasi kubwa kwa uzoefu wake inaweza isiwe bora ktk baadhi ya kozi lakini uzoefu wake unakibeba + wakufunzi wamejenga mentality kwao na kwa wanafunzi wao kuwa wao ni best kwa Afrika mashariki na kati
So unakuta hata bila kujua hiyo kozi inatolewa au haitolewi wao wanasema ni best tuu
Kuna kipindi fulani humu ukizungumzia udsm watu walikuwa hawajadili ila wana coment tuu

" acha kufananisha udsm na mambo ya kijinga"

Ilikuwa ni na bado ni mentality kwa mtu yeyote aliyetoka pale. Kujiamini ni moja ya sifa yao na jinsi walivyorithishwa culture ya chuo.


Kuhusu chuo gani? Lazima ujue kozi gani ili ufanye uchaguzi na uangalie job market ikoje na reputation ikoje ktk job market.

Mf : program ya Acturial Sci lazima usome udsm kwa Tz hata kama mapenzi yako yote ni kusoma Zoom college.
 
Samahani, kama kichwa cha habar kinavoeleza kuna mdogo wangu ahitaji kuchagua chuo kati ya UDOM NA UDSM kip kinafaa kwa utoaji mzur wa huduma ikiwemo taaluma

Post sent using JamiiForums mobile app
Bora udsm, make udom dah, kama vipi fika pale ujionee mwenyewe,
 
Udom chuo bora kabisa Tanzania,UDSM haiwezi kitu,chuo kina miaka mingi lakini hakijasaidia hii nchi,wahitimu wote wa udsm wamejazana tu kwenye maofisi ya wahindi,wahitimu wengi wa udsm hafikirii nje ya box..Wahitimu wa Udom wengi sana wana miradi mingi yao binafsi ndani na nje ya nchi,na wameajiri watu wengi.

Kwamaana hiyo ukitaka kufikiri nje box nenda UDOM,ukitaka kibaki ndani ya Box kama kuku wa kisasa nenda UDSM.
 
Udsm ndio habari ya mjini Hujumskia mkuu siku ile alvosema ukisoma Ud hata kwenye intavyu cheti chako hakigeuzwi geuzwi yaaan kukaguliwa sana kama vyuo vingine hivo... halafu Udom kilivo chuo cha ajabu hata "fomu fo feliya (vilaza) wanasoma digirii"

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ety aliyepata 1.8 cbg atosoma course gan ud

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Samahani, kama kichwa cha habar kinavoeleza kuna mdogo wangu ahitaji kuchagua chuo kati ya UDOM NA UDSM kip kinafaa kwa utoaji mzur wa huduma ikiwemo taaluma

Post sent using JamiiForums mobile app
Hebu taja kozi anayotaka kusoma Ndio tukishauri Sio Kumbe anataka Civil engineering wakati UDOM Hakuna!!!

KIMEO CHANGU
 
Mambo yanabadilika kila siku kwenye utendaji kazi kwa ufanisihivyo ni lazima kuendane na mafunzo sahihi yanayofundishwa kwa wakati sahihi.
Nadhani UDOM wameliona hilo na wameamua kulifanyia kazi, kutamfaa zaidi huyo kijana.
 
Nyingne ip

Post sent using JamiiForums mobile app
Nenda Udsm kama upo Dar utapewa Prospectus au Course Guideline utachagua inayokufaa kulingana na combination yako plus cut off points yaani marks husika
 
Usipate shida, ingia google kisha andika wanafunzi wa chuo kikuu... Utaletewa picha, alaf andika tena university students, utaletewa picha... Baada ya hapo jaji mwenyewe kati ya chuo kikuu na university kipi kinafaa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
kaka kama anataka sifa aende UDSM kama anataka kujengeka kitaaluma na kupata maarifa yenye kuendana na dunia ya leo afike UDOM pale, kumbuka UDOM ya jana sio ya leo na kesho

Sent from my Blackberry DTEK70 using JamiiForums mobile app
TATIZO wanadhani kila anaeenda udsm ni bora, udom tangu mapema ina product nzur, sijui watu wengine wamerogwa na nani, wanakurupukaa, chuo hukijui unakandia ujinga, udsm ina haki kuwa ranked duniani, lakini udom sio chuo kibaya hata kidogo
 
TATIZO wanadhani kila anaeenda udsm ni bora, udom tangu mapema ina product nzur, sijui watu wengine wamerogwa na nani, wanakurupukaa, chuo hukijui unakandia ujinga, udsm ina haki kuwa ranked duniani, lakini udom sio chuo kibaya hata kidogo
UDSM Ndo chuo... Hizi nyingine collage

Post sent using JamiiForums mobile app
 
kaka kama anataka sifa aende UDSM kama anataka kujengeka kitaaluma na kupata maarifa yenye kuendana na dunia ya leo afike UDOM pale, kumbuka UDOM ya jana sio ya leo na kesho

Sent from my Blackberry DTEK70 using JamiiForums mobile app
Wew jamaa una akili sana
Asichanganywe na majina
 
Ungeweka kozi anayotaka kusoma nadhan ungepata ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom