James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,199
- 15,555
Lugha ya malikia inapatikana kwa miaka 3 au 4 ?udsm kuna tatizo watu wanamaliza udsm tena phd wanashindwa kumster lugha ya malikia mimi nakushauri mwambie aende udom chuo cha kisasa
Nimejaribu kuwaza kwa sauti tuu