Huyo bwanamdogo anayetaka kwenda chuo,anatakiwa ajue yafuatayo;UDSM ilianza muda mrefu na yawezekana iliyumba mwanzoni lakini baadae ilikuja ikatengamaa na sina uhakika kama hadi sasa imetengamaa au laa,apime mwenyewe kwa products zinazotoka pale kwasasa,akilinganisha na UDOM.
Baada ya hapo anatakiwa ajue kua UDOM,imeanza juzi tu hapa,na kilichotokea mwanzo hawakua na watu wenye sifa stahki zakufundisha kwenye kile chuo,kwani wengi waliokua wanafundisha pale walikua ni graduates kutoka vyuo mbalimbali mfano UDSM,na baadhi ya watu kama akina Dr.Gharib Bilal,kilichokuja kutokea,waliosoma kipindi hicho cha mwanzo,walipiga GPA za hatari ambazo wengine wala hawakustahili.
Hali iliyopo sasa UDOM kitaaluma iko katika mpito,kwani kuna ile hali yakufiyaosconception ya baadhi ya watu kua kile mi chuo cha kata,hivyo dogo alienda asidhani kuna GPA kama ambazo watu walikua wanajichukulia hapo mwanzo,na anatakiwa ajue kua uwezekano waku-disco nimkubwa sana endapo atalegalega,hasa kwa baadhi ya colleges,mfano CoEd.
Mimi nina rafiki yangu mmoja alifukuzwa UDSM alipokua semester yamwisho kabisa,akaenda kujiunga UDOM,aliwahikunipigia simu kua hawezikupata supplementary kwasababu anaouzoefu wa UDSM alikokua anasoma sociology, hivyo kwenye course za ualimu hawezi lukamatwa,mwakajana akiwa amemaliza semester yakwanza na matokeo yakiwa yametoka,alonijulisha kua kakamatwa somo moja,nikshauri akomae,kwani UDOM bado wanakomaa kurudisha heshima,asidhani ni UDSM ambao heshima ilishapatikana muda mrefu.