Ubora wa Chuo unapimwa kwa vitu vingi sana...mfano number ya Drs na Profs,research publications za Chuo husika na impact ya research hizo kwenye National Development,products za Chuo mf graduates na competence zao kwenye related fields etc.Ni mambo mengi...sasa inabidi uwe makini sana katika kuchambua ubora wa chuo.Vyuo vyetu vya umma vingi vimejawa na siasa badala ya utaalamu.Its upon you to choose na pia utakavyoiweka akili yako kwenye malengo unayotaka kwenye Chuo husika.League ya Udom na Udsm ni upuuzi cha msingi jipange katafute elimu ubora unao kichwani mwako mwenyewe.
No matter how evil money is,but being broke is not holly.