Kati ya UDOM na UDSM chuo kipi kinafaa

Kati ya UDOM na UDSM chuo kipi kinafaa

Samahani, kama kichwa cha habar kinavoeleza kuna mdogo wangu ahitaji kuchagua chuo kati ya UDOM NA UDSM kip kinafaa kwa utoaji mzur wa huduma ikiwemo taaluma

Post sent using JamiiForums mobile app
Vyote ni vya umma. Vinafaa, kikubwa anayekwenda/unapokwenda kusoma ujue lengo lililokupeleka hapo ni kusoma na si vinginevyo. Zingine ni mbwembwe tu!
 
Vyote ni vya umma. Vinafaa, kikubwa anayekwenda/unapokwenda kusoma ujue lengo lililokupeleka hapo ni kusoma na si vinginevyo. Zingine ni mbwembwe tu!
ahsante sana ndugu[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
ahsante sana ndugu[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Post sent using JamiiForums mobile app
Muwe mnafanya kautafiti na uchunguzi kidogo. Waliosoma nje ya nchi na ndani ya nchi tofauti yao katika ku-deliver inatifautiana au sawa? Sana sana inawezekana tofauti ikawa lugha ya malkia kidogo wa nje, na huenda akazidiwa na aliyesoma vyuo vya umma nchini,lakini kwa ku-delivery wa vyuo vya ndani anaweza kuwa juu. Nenda chuo chochote kati ya hivyo viwili ukasome kijana. Tunaongea kwa experience.
 
Weka matokeo yake kwanza...

Asijepoteza muda bure kuomba UDSM..
 
Muwe mnafanya kautafiti na uchunguzi kidogo. Waliosoma nje ya nchi na ndani ya nchi tofauti yao katika ku-deliver inatifautiana au sawa? Sana sana inawezekana tofauti ikawa lugha ya malkia kidogo wa nje, na huenda akazidiwa na aliyesoma vyuo vya umma nchini,lakini kwa ku-delivery wa vyuo vya ndani anaweza kuwa juu. Nenda chuo chochote kati ya hivyo viwili ukasome kijana. Tunaongea kwa experience.
hahaaaaaa poa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wakati Udom inaanza 2007 nilipata chance hapo nikakataa kwenda na wala sijutii.Kipindi hicho tulikua tunafanya Matriculation Exam so unaweza kupata vyuo hadi vitatu but unaandika barua ya ku confirm Chuo kimojawapo unachotaka.Sitajuata maana Udsm haitakua Udom na Udom haitakuwa Udsm.Lets call spade a spade and not a big spoon.Kama mtu huna Linguistic competence usitarajie kwenda kuipatia Varsity.Narudia tena ubora upo kichwani mwako na lazima ujue ni nini unataka maishani baada ya kumaliza Chuo chalii.

No matter how evil money is,but being broke is not holly.
 
Ukiwa unafikiria kuapply ukumbuke kuwa wanafunzi wote Tanzania wanaomba vyuo viwili tu ambavyo ni UDSM na UDOM tu.

Akili kichwani
 
Back
Top Bottom