UshauriHata UDOM competition kubwa
Chuo kinahitaji matokeo makubwa vile vile
Usifikir UDOM ndyo wanachukua div 3 tuuu
Naona umejivutia upande wako bro lkn hukutoa ushaur...
Toa ushaur
Ushauri ndio huo niliompa kwamba aombe Udom au vyuo vingine vya kata Udsm kwa division 3 huwezi pata kozi yoyote ile.Hata UDOM competition kubwa
Chuo kinahitaji matokeo makubwa vile vile
Usifikir UDOM ndyo wanachukua div 3 tuuu
Naona umejivutia upande wako bro lkn hukutoa ushaur...
Toa ushaur
Udsm wako very strictly kwenye marks wanazochukua pamoja na idadi ya watu wanaowachukua lakini kwa Udom ni tofauti kumbuka lengo la Udom ni kufikia wanafunzi 40,000 na kukifanya chuo chenye wanafunzi wengi zaidi hivyo hata hizo div 3 wao "wanasomba" tu