Kati ya Mungu na shetani nani hutoa uhai wa viumbe?

Kati ya Mungu na shetani nani hutoa uhai wa viumbe?

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Utasikia bwana ametoa na bwana ametwaa au kazi yake mola haina makosa wakati huohuo anakemewa shetani ashindwe katika jina la yesu.

Waafrika manajifikirisha kwa kuwaza na kuwazua kweli?
 
Utasikia bwana ametoa na bwana ametwaa au kazi yake mola haina makosa wakati huohuo anakemewa shetani ashindwe katika jina la yesu.

Waafrika manajifikirisha kwa kuwaza na kuwazua kweli?
Jifunze kuhusu imani juu ya Mungu shetani na kifo.. Kuna mengi yamefafanuliwa kwa kina
Kina vifo vinaitwa natural death na kuna vifo vya kulazimishwa
 
Angalia na hii
Ni kwa nn

Ayubu 2:5
Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.
Ayubu 2:6
BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.
 
Angalia na hii
Ni kwa nn

Ayubu 2:5
Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.
Ayubu 2:6
BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.
Kama bado unaishi kwa reported speech au hearsay za hadithi wewe ni jiwe!!
 
Utasikia bwana ametoa na bwana ametwaa au kazi yake mola haina makosa wakati huohuo anakemewa shetani ashindwe katika jina la yesu.

Waafrika manajifikirisha kwa kuwaza na kuwazua kweli?
Hili ni swali la msingi mno kwa kweli ukipata ukweli wake basi mambo mengi mengine hapa duniani hayatakusumbua. Na kwanza bwana gani hasa wanamaanisha.
 
Angalia na hii
Ni kwa nn

Ayubu 2:5
Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.
Ayubu 2:6
BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.
Dini ni matumizi ya itikadi ya wenye akili kudhibiti wajinga kama wewe kupitia mistari ya kukaririshwa.

Ayub ni bwana yako na je mzungu wa kuhadithiwa ni bora kuliko WAZAZI wako??
 
Dini ni matumizi ya itikadi ya wenye akili kudhibiti wajinga kama wewe kupitia mistari ya kukaririshwa.

Ayub ni bwana yako na je mzungu wa kuhadithiwa ni bora kuliko WAZAZI wako??
Hayo yote Ni Kwa sababu haujui siri ya neno
 
Ulimwengu
Waliotumwa na Mungu kusema neno la Mungu
Mpaka sasa neno lake lina Nguvu
Kupitia neno lake watu wanaponywa na
Wanabadilika na kuonyesha njia ya kuishi


Vingine utajionea zaidi ukiwa rohoni
 
Na walokole wakipata ajali wakafa utasikia ni kazi ya Mungu haina makosa, ila wakinusurika utaambiwa shetani ameshindwa!
 
Back
Top Bottom