Don't leave out "the great debate"Acheni utani mzee wa MAN ON FIRE na The Equalizer ni next level.
Cc The Boss
Ile yenye utoto wa mjini sana....Training Day...Denzel Washngton ni mkali saaaaaana. Safe house, courage under fire, unstopable ni shiiiiiida. Huwa namkubali sana na kigugumizi chake.
Nayo nzuriiiiii brazamen sana na cheni kibao shingoniIle yenye utoto wa mjini sana....Training Day...
Denzel kwenye 2 GUNS napenda anavyodag....halafu yule mshkaji aliyekuwa nae ni chizi kinoma....ila Freeman ni balaa kuliko woteMwanangu hao watu ni hatari huwezi kusema nani kampita mwenzake..mana ukimcheki denzel kwenye TWO GUNS afu samuel kwenye AVENGERS au XXL ni hatari