ni producer pia ni muigizaji. amecheza movie nyingi kama John Q, De ja vu, Great Debators, Training Day, Malcom X n.kHuyu Denzel sio producer kweli!!
Uko sahihi,Samwel ni mtaalamu na huwa anatulia sana kwenye movie zake.Samuel anamisemo hadi raha kumsikiliza. umemcheki kwenye Pulp fiction na Jack Brown? pia kuna unthinkable ambayo kacheza kikatili sana. jamaa kasomea uigizaji chuo kikuu.
SAMWEL JACKSONDEN ZEL WASHING INTON
Denzel jamaa anaweza sana,nikimkumbuka kwenye movie ya training day,aliua sana mule,pia kuna movie ya flight na nyingine nyingi hajawahi kukosea,
Samuel Jackson anajua sana sema yeye kila baada ya maneno mawili ni moth**f**r.
Mzee Morgan yeye ni huwa anatoa speech zenye uzito akibebwa na sauti yake unique,so kiufupi kila mtu ni bora katika angle yake.
Kiukweli mie hua napenda movie ambazo madhafaka zimetawala ndio nainjoy zaidi kwa angle hio Samuel L.Jacksons hana mpinzani maana movie haiwezi kuwa movie bila jamaa kumwaga moto....Jamaa anakuwaga na gesi sana yani katika scenes zake.nimejiuliza kati ya hawa waigizaji weusi nani ni mkali zaidi sijapata jibu. we unaona nani mkali zaidi ya wenzake?
Hiyo ndio tofauti yao kubwa..wote ni method actors..they bring realism to the character..sema kwa upande wa solo na versatility Denzel yuko poa zaidi..he can easly fit any characterFreeman na Jackson Mara nyingi ni supporting cast kwenye movies..Denzel any movie yeye ni Starring.. Denzel is just Denzel na motion yake ya kibabe.
Sidhani kama kuna yeyote mkali kati yao, hawa wote ni binadamu na si mbwa wa ulinzi.nimejiuliza kati ya hawa waigizaji weusi nani ni mkali zaidi sijapata jibu. we unaona nani mkali zaidi ya wenzake?