Na morgan nae kwenye OLYMPUS na LONDON has fallen katisha sananimejiuliza kati ya hawa waigizaji weusi nani ni mkali zaidi sijapata jibu. we unaona nani mkali zaidi ya wenzake?
kuna movie inaitwa street smart. Morgan kaigiza kama pimp. kauzu huwezi kuamini.Kila moja anaitendea nafasi yake vizuri kutokana na maudhui ya movie. Kwenye Ubabe Denzeli na Samuel Jackson wanazitendea haki, kuna movies za watoa maamuzi Morgan Freeman anazipatia sana.
Ha ha ha ha...anazuga hamjui "The Boss"!Ni kweli hujui au unatania?
jamaa analine za ukweli sana. kuna movie inaitwa glory wamecheza na Denzel. Denzel alikuwa mtata kwenye haki zake hadi alikuwa anazingua. Morgan akamwambia "'the only nigger here is you''
sitanii mkuu. Deenzel ana Oscar 2, Morgan 1 na Samuel 0. ila kwenye total box office dunia nzima hakuna kama Samuel. nikicheki performance ya Jackson kwenye movie zake huwa nastaajabu kipaji. nikija kumcheki Denzel na Morgan naona nao wamoto.
umecheki the hateful eight (2015) ya Samuel?
Wote wakali kwa nafasi zao.
katika movie za Denzel, Crimson tide naipenda sana. nyingine ni Out of time. zina mishemishe mwanzo mwisho.
kuna movie aliigiza na Sanaa Lathan nimeisahau jina
nzuri sana