KATI YA SAMIA NA NCHIMBI UTAMCHAGUA NANI?

KATI YA SAMIA NA NCHIMBI UTAMCHAGUA NANI?

Samia vs Nchimbi


  • Total voters
    15
  • This poll will close: .

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,563
Reaction score
14,318
Wanajamvi.

Kuachana na mambo ya CCM ,,, ikawa uchaguzi wa Rais wagombea ni huru.

Kati ya Samia na NCHIMBI UTAMCHAGUA nani?

Au ninyi wana CCM ukiwekwa Uchaguzi huru ndani ya chama nani atashinda kati ya hawa wawili?
 
Jamii forums the home of Great Thinkers.

Long life jamii forum.
Wabaya wasiishinde.
 
Nilisema sijala maharage muda mrefu, mtu kanipikia, nimeonja kaweka sukari,kulalamika siwezi 🤔
 
Nchimbi ni mdhaifu. Hana uwezo wa kudhibiti hisia ambazo yeye anazita msimamo. Ni mchache wa busara.

Ajbu wafuasi wengi wa CDm watampigia kura kwa siasa zao fuata upepo
 
Kumuweka Dr Nchimbi na huyo mwanamke obviously ni Nchimbi ataongoza huyo ilibidi awekwe na jiwe au gogo la mti ajionee maajabu.
 
Embu acha kujitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu na lilevi la gongo. Rais Samia alishachaguliwa na Watanzania kwa zaidi ya 98%
 
Back
Top Bottom