Orketeemi JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 5,563 Reaction score 14,318 Today at 3:29 PM #1 Wanajamvi. Kuachana na mambo ya CCM ,,, ikawa uchaguzi wa Rais wagombea ni huru. Kati ya Samia na NCHIMBI UTAMCHAGUA nani? Au ninyi wana CCM ukiwekwa Uchaguzi huru ndani ya chama nani atashinda kati ya hawa wawili?
Wanajamvi. Kuachana na mambo ya CCM ,,, ikawa uchaguzi wa Rais wagombea ni huru. Kati ya Samia na NCHIMBI UTAMCHAGUA nani? Au ninyi wana CCM ukiwekwa Uchaguzi huru ndani ya chama nani atashinda kati ya hawa wawili?
CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 11,627 Reaction score 25,635 31 minutes ago #2 Jamii forums the home of Great Thinkers. Long life jamii forum. Wabaya wasiishinde.
M Matawi ya juu JF-Expert Member Joined Mar 5, 2019 Posts 7,548 Reaction score 14,400 25 minutes ago #3 Nilisema sijala maharage muda mrefu, mtu kanipikia, nimeonja kaweka sukari,kulalamika siwezi 🤔
S Scientist ZAK Member Joined Apr 11, 2026 Posts 25 Reaction score 31 25 minutes ago #4 Emanuel Nchimbi Bora mara elf kumi
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 54,692 Reaction score 127,512 24 minutes ago #5 Tumekubali wenyewe taifa kuongozwa na failure.
darcity JF-Expert Member Joined Jul 20, 2009 Posts 9,249 Reaction score 18,288 23 minutes ago #6 Nchimbi ni mdhaifu. Hana uwezo wa kudhibiti hisia ambazo yeye anazita msimamo. Ni mchache wa busara. Ajbu wafuasi wengi wa CDm watampigia kura kwa siasa zao fuata upepo
Nchimbi ni mdhaifu. Hana uwezo wa kudhibiti hisia ambazo yeye anazita msimamo. Ni mchache wa busara. Ajbu wafuasi wengi wa CDm watampigia kura kwa siasa zao fuata upepo
The Worst JF-Expert Member Joined Sep 12, 2021 Posts 8,363 Reaction score 27,336 23 minutes ago #7 Kumuweka Dr Nchimbi na huyo mwanamke obviously ni Nchimbi ataongoza huyo ilibidi awekwe na jiwe au gogo la mti ajionee maajabu.
Kumuweka Dr Nchimbi na huyo mwanamke obviously ni Nchimbi ataongoza huyo ilibidi awekwe na jiwe au gogo la mti ajionee maajabu.
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Joined Jul 28, 2022 Posts 39,336 Reaction score 25,408 22 minutes ago #8 Embu acha kujitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu na lilevi la gongo. Rais Samia alishachaguliwa na Watanzania kwa zaidi ya 98%
Embu acha kujitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu na lilevi la gongo. Rais Samia alishachaguliwa na Watanzania kwa zaidi ya 98%
The Worst JF-Expert Member Joined Sep 12, 2021 Posts 8,363 Reaction score 27,336 22 minutes ago #9 darcity said: Nchimbi ni mdhaifu. Hana uwezo wa kudhibiti hisia ambazo yeye anazita msimamo. Ni mchache wa busara. Click to expand... Samuya je?
darcity said: Nchimbi ni mdhaifu. Hana uwezo wa kudhibiti hisia ambazo yeye anazita msimamo. Ni mchache wa busara. Click to expand... Samuya je?
Andromeda Galaxy JF-Expert Member Joined Feb 7, 2025 Posts 8,644 Reaction score 14,003 19 minutes ago #10 Hapo sitapiga kura, mpaka nione jina la Tundu Lissu