Kati ya haya Mawili kipi ni Bora zaidi?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,745
Nina Sebule kubwa nmemaliza Ujenzi nataka week hii nifunge AC. Nlikuwa naomba ushauri kwenu.

Kipi Bora.
1. Kuweka ACs mbili ambazo kila moja ni BTU 12 au

2. Kuweka moja tu yenye BTU 22?

Sebule ni kubwa na nataka yote igeuke kuwa Mbeya au Iringa. Yaani ipigwe baridi hasa ikiwezekana hata mtu akiiingia sebuleni kwangu awe anavaa sweater au jacket. (hapo nimechomekea tu)
 
Nina Sebule kubwa nmemaliza Ujenzi nataka week hii nifunge AC. Nlikuwa naomba ushauri kwenu.

Kipi Bora.
1. Kuweka ACs mbili ambazo kila moja ni BTU 12 au

2. Kuweka moja tu yenye BTU 22?

Sebule ni kubwa na nataka yote igeuke kuwa Mbeya au Iringa. Yaani ipigwe baridi hasa ikiwezekana hata mtu akiiingia sebuleni kwangu awe anavaa sweater au jacket. (hapo nimechomekea tu)
Hapo funga Ac 2 mkuu
 
Nina Sebule kubwa nmemaliza Ujenzi nataka week hii nifunge AC. Nlikuwa naomba ushauri kwenu.

Kipi Bora.
1. Kuweka ACs mbili ambazo kila moja ni BTU 12 au

2. Kuweka moja tu yenye BTU 22?

Sebule ni kubwa na nataka yote igeuke kuwa Mbeya au Iringa. Yaani ipigwe baridi hasa ikiwezekana hata mtu akiiingia sebuleni kwangu awe anavaa sweater au jacket. (hapo nimechomekea tu)
mbili sebule yote hazitoshi weka mbili kwa kila ukuta. kama sebule ina kuta nne, weka ac nane
 
Back
Top Bottom