GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,857
- 6,600
Alau kuanzia mwaka 2012Ranger ya mwaka gani? Ila chukua LC tu.
πππNgoja waje wazoefu watakushauri vizuri.
Ila ukipata pure Land cruiser double cabin from Japan hutokuja kujutia pesa yako.
land cruiser hana mpinzaniIngawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake".
Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi.
SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA:
1. Double Cabin Pick Up
2. Limudu safari ndefu za mara kwa mara
3. Limudu barabara za aina zote: lami, vumbi, na hata zenye utelezi nyakati za mvua
4. Liwe na uwezo wa kubeba mizigo midogo mara kwa mara na wakati mwingine muda mrefu - kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine au mingine
5. Lililo na uwezekano wa kudumu
muda mrefu.
Lipi linakidhi hivyo vigezo kati ya FORD RANGER NA LAND CRUISER?
Kuna lililo bora zaidi kuzidi hayo machaguo mawili?
Toyota Land Cruiser Double Cabin inaweza kuwa chaguo bora kwako, Hii ni kwa kuzingatia maelezo yako.Lipi linakidhi hivyo vigezo kati ya FORD RANGER NA LAND CRUISER?
cruiser kwenye maintenance ni cheap kuliko ford, interms of spare parts na mafundi ila kwenye durability ford ranger Hana mpinzaniIngawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake".
Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi.
SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA:
1. Double Cabin Pick Up
2. Limudu safari ndefu za mara kwa mara
3. Limudu barabara za aina zote: lami, vumbi, na hata zenye utelezi nyakati za mvua
4. Liwe na uwezo wa kubeba mizigo midogo mara kwa mara na wakati mwingine muda mrefu - kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine au mingine
5. Lililo na uwezekano wa kudumu
muda mrefu.
Lipi linakidhi hivyo vigezo kati ya FORD RANGER NA LAND CRUISER?
Kuna lililo bora zaidi kuzidi hayo machaguo mawili?
View attachment 2751225View attachment 2751229View attachment 2751231View attachment 2751238View attachment 2751239
Siyo vizuri kuilinganisha hiyo Toyota Landcruiser pick up na Ford Ranger kwa shughuli za porini! Toyota Landcruiser ni mnyama wa porini.Ingawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake".
Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi.
SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA:
1. Double Cabin Pick Up
2. Limudu safari ndefu za mara kwa mara
3. Limudu barabara za aina zote: lami, vumbi, na hata zenye utelezi nyakati za mvua
4. Liwe na uwezo wa kubeba mizigo midogo mara kwa mara na wakati mwingine muda mrefu - kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine au mingine
5. Lililo na uwezekano wa kudumu
muda mrefu.
Lipi linakidhi hivyo vigezo kati ya FORD RANGER NA LAND CRUISER?
Kuna lililo bora zaidi kuzidi hayo machaguo mawili?
View attachment 2751225View attachment 2751229View attachment 2751231View attachment 2751238View attachment 2751239
Ufafanuzi kidogo mkuu, kama itawezakana lakini.πππFord ndugu hutojuta
Nashukuru Mwl!Toyota Land Cruiser Double Cabin inaweza kuwa chaguo bora kwako, Hii ni kwa kuzingatia maelezo yako.
Mkuu, unaweza ukafafanua kidogo hapo kwenye "kama umepanda punda"?Kwa kuwa umesema itabeba mizigo midogo chukua Ford ipo comfortable, japokuwa cruiser haina mpinzani ila ni kama umepanda punda
Nimekupata mkuu πππKamata LC hutojuta
View attachment 2751243
View attachment 2751244
Achana na FR
View attachment 2751246
View attachment 2751247
πππcruiser kwenye maintenance ni cheap kuliko ford, interms of spare parts na mafundi ila kwenye durability ford ranger Hana mpinzani