Kate, mke wa Ferdinand aonja Kaa la moto huko Instagram

Kate, mke wa Ferdinand aonja Kaa la moto huko Instagram

Picha ya huyo Kate, iko wapi tuione huenda ikachochea hamu ya kungonoka....nataka nikwee mnazi hapa
Hivi mkuu, katikati ya simanzi na majonzi unaweza kudindisha na kuukwea mnazi?

Mi'hushangaa sana, kwenye fumanizi unakuta mtu anabaka/lawiti!

Kwenye taharuki ya vita na umwagaji damu unakuta mtu ana rape!

Wenzetu hizo nguvu katikati ya majanga huwa mnazitoa wapi?
 
Picha ya huyo Kate, iko wapi tuione huenda ikachochea hamu ya kungonoka....nataka nikwee mnazi hapa
Mkuu
Kunywa Juice Hii, Halafu Ni DM
Tuongee Mambo Ya Msingi Zaidi
beetroot-juice-recipe.jpg
 
Hii Si sawa! ingawa kweli inaweza saidia kupeleka ujumbe lakini kuja kujitibu baadae hata kama ccm imeondoka madarakani itakuwa kazi kubwa sana ya kujitakia.
Nchi ikipata uhuru kutoka kwa Mkoloni wa Kizanzibari na genge lake dunia nzima itafahamu, usihofu kuhusu hilo.
Kwanini watu waogope kuupeleka ujumbe nje ya mipaka wakati vita vya ndani uwanja wao, refa wao huku timu pinzani hata wakipiga chenga hawaruhusuwi kuishangilia.
 
Binafsi naamini utawala wa ccm hauna muda mrefu tena kwenye hii nchi.
Concern yangu, ni namna gani tunaweza irudisha image ya nchi kwa watu wenye potential kama tukiwapoteza saivi. (Ukiachana na Rio ambae sioni kama ana effects sana)
Ila kwa trend hii tunaweza haribu kwa watu wenye manufaa zaidi, haina tofauti sana na kuchoma infrustructures
He knows politics, UK ndiyo kuna vita social media na social media celebrities personality attacks mara 100 zaidi ya TZ. Mpaka sasa anajua kwamba ameingia cha like ila pesa ameshakula kaamua kuzifanyia kazi vinginevyo azirudishe uone atakavyosifiwa, he knows.
 
Vipi wamemtumia na video za wale waharifu waliokuwa wanaua, kujeruhi na kupora Mali za watu?!!!

Anyway, hiyo ni mipango ya mashetani ya nyumbu wa lissu na kitima.....imeshashindwa kabla haijaanza. Na wengine weeeengi watakuja. Kwa kifupi ameni tu nchi lakini kuiharibu na kuzichukua kamwe hamuwezi...kajaribuni Uganda huko kwanza.
Nyie siku zenu zinahesabika.Sikio la kufa halisikii dawa. Sema pia ni kama hamna akili, hivi dunia ya sasa kweli ni ya kukomaa na utekaji wa kijingq kabisa, tena mnatumia sijui wavuta bangi wale, na mbaya zaidi hampoi yaani.Yaani mama Samia mnamtia katika matatizo makubwa sana, hata kua na uzee mwema na utulivu, savabu ni akili mbovu za watu waliomzunguka
 
Hongera sana. Mwendo unatakiwa kuwa hivyo hivyo kwa kila mgeni, atakayealikwa na hawa wauaji. Ili kuongeza uelewa kwa jamii ya kimataifa, ya kile kilichofantwa na wauaji mwakajana, na utekaji wa watu unaoendelea.
 
Hongera sana. Mwendo unatakiwa kuwa hivyo hivyo kwa kila mgeni, atakayealikwa na hawa wauaji. Ili kuongeza uelewa kwa jamii ya kimataifa, ya kile kilichofantwa na wauaji mwakajana, na utekaji wa watu unaoendelea.
Makonda badala ya kuitangaza vizuri Tanzania anaelekea kutangaza mauaji ya Oktoba 29
 
Hivi mkuu, katikati ya simanzi na majonzi unaweza kudindisha na kuukwea mnazi?

Mi'hushangaa sana, kwenye fumanizi unakuta mtu anabaka/lawiti!

Kwenye taharuki ya vita na umwagaji damu unakuta mtu ana rape!

Wenzetu hizo nguvu katikati ya majanga huwa mnazitoa wapi?
Kuna baadhi ya maneo kufundisha ni ngumu sana japo Kuna wahuni wanaweza.

Nilishangaa sana jamaa yangu mmoja alipiga nyeto msibani baada ya kuona sura ya marehemu (kwenye jeneza) wakati wanamuaga marehemu, jamaa anadai kuwa marehemu alikuwa mzuri sana kiasi cha kumfanya apandwe na ashiki.

Hivya basi, kudindisha katikati ya majonzi na simanzi kunategemea kati ya ntu na ntu.

Mbaga Jr.
 
Kiukweli CCM watafute mbinu nyingine ya kudeal na hiki kizazi Cha sasa mkono wa chuma sio jawabu tena, vijana wa sasa hivi wana akili sana. Hakuna alietegemea kwamba wangeweza kubadilisha upepo wa Rio kutoka kuipromote nchi mpaka kuonekana anatumika kuisafisha serikali na makando kando, sasa ziara yake Haina maana tena ila imesaidia kusambasa serikali isichokipenda.

Yaani mambo yameenda kinyume, badala ya kusafisha imechafua.watu wameenda mbali mpaka kuitafuta page ya mke wa Rio na wamefanya serikali isichokipenda kabisaaa.

Ushauri wangu kwa serikali!! Watulie kwanza,watu bado wana hasira waachane na hizi mambo watapata aibu zaidi ya hiyo ya Rio kama wakiendelea na habari hizo.kitu pekee wananchi wanachotaka kwa sasa ni daraja.

Nb: Naamini nchi itatulia Tundu lissu akiachiliwa
 
Nyie siku zenu zinahesabika.Sikio la kufa halisikii dawa. Sema pia ni kama hamna akili, hivi dunia ya sasa kweli ni ya kukomaa na utekaji wa kijingq kabisa, tena mnatumia sijui wavuta bangi wale, na mbaya zaidi hampoi yaani.Yaani mama Samia mnamtia katika matatizo makubwa sana, hata kua na uzee mwema na utulivu, savabu ni akili mbovu za watu waliomzunguka
Naamini hata hivi vikundi vya utekaji vinamadhaifu makubwa sana....! Operation za ndani tu zinawashinda za nje wataweza kweli?? Hivi kwa mfano wanaweza kwenda hata hapo Kenya wakamchomoa mtu wakaondoka nae bila kuacha alama kweli?? Wameiva kimafunzo kweli? Maswali ni mengi sana juu ya watu hao.

Ama ni mungu tu ameamua kuingilia kati maana hapendezwi na matendo hayo?? Wao wanaona wamefanya ki-professional lkn anawaweka hadharani??
 
Daa hii nchi Toka MO29, sidhani kama itakuwa sawa. Kate Ferdnand ni mke wa mchezaji Ferdinand ambae Yuko Tanzania Kwa mwaliko wa Makonda.

Mwanadada huyo kwenye post zake za Instagram uwa anapata comments kama 20-50, Cha kushangaza ndani ya siku mbili amekutana na moto wa Gen Z, walio comment kwenye page yake Kwa kimlaumu mumewe Kwa kutumika kusafisha watawala. Kwenye post za huyu bi dada comments zinasoma maelfu uku picha na video za kutisha za mauaji ya MO29 zikiwekwa kwenye comment section.

Ziara ya Ferdinand imegeuka kilio Cha kusaga meno kwake na Kwa familia, media za UK zimemngoja Kwa hamu.

Ziara ya Ferdinand Tanzania ni carrier Suicide Kwa mchezaji huyo.
Chadomo acheni porojo
 
Problem ya Miafrika,
Poor thinking capacity,mkewe hata yeye wanahusika vipi na siasa zenu za kipumbavu nyoko nyinyi.
Kasema sio mwanasiasa na hapangiwi nia ni kuja kukuza vipaji.
Kajikuta katikati ya wanasiasa wanamzonga.
Kosa lake lipi?
Idiots
 
Daa hii nchi Toka MO29, sidhani kama itakuwa sawa. Kate Ferdnand ni mke wa mchezaji Ferdinand ambae Yuko Tanzania Kwa mwaliko wa Makonda.

Mwanadada huyo kwenye post zake za Instagram uwa anapata comments kama 20-50, Cha kushangaza ndani ya siku mbili amekutana na moto wa Gen Z, walio comment kwenye page yake Kwa kimlaumu mumewe Kwa kutumika kusafisha watawala. Kwenye post za huyu bi dada comments zinasoma maelfu uku picha na video za kutisha za mauaji ya MO29 zikiwekwa kwenye comment section.

Ziara ya Ferdinand imegeuka kilio Cha kusaga meno kwake na Kwa familia, media za UK zimemngoja Kwa hamu.

Ziara ya Ferdinand Tanzania ni carrier Suicide Kwa mchezaji huyo.
Baada ya mauaji ya 29/10, eti unampa Makonda jukumu la kuisafisha nchi! Una akili wewe? Hawa watu wajinga kweli kweli. Ndivyo wanavyozidi kutangaza mauaji baadala ya kufunika.
 
Back
Top Bottom