Kassim Gogo: Msukuma sio raia wa Tanzania, yeye na genge lake wanaandaa mtu wao kuwa rais 2025

Kuna mganga yupo Morogoro ni jamaa yangu kabisa kuna siku Magufuli alienda kwake kwa mambo ya kitaalamu(Hii ni kweli kabisa sio hadithi ya uongo na ya kutunga)...basi mtaalamu akamwambia mh una vita kubwa sana katika chama chako na wanaokupinga na kukuhujumu ni wengi sana tofauti na wanaokuunga mkono wengi wanakupaka mafuta tu kwa mgongo wa kichwa na akamchana live opportunity ya wewe ya kuendelea kuishi ni ndogo sana kuwa makini na siku hiyo alienda kwa huyo mtaalamu na moja ya watu ambao wamo kwenye kundi la ukosoaji wa serikali iliyopo madarakani kwa sasa aliyekuwa na cheo kikubwa tu chamani by then...nadhani hapa kuna sumu wanapenyezeana baina ya kundi lile lililokuwa chini ya Marehemu na hili la sasa
Aiseee,

Wewe ni mchonganishi,
 
MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA
_____________________________________

Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.

Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.

Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.

Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.

Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.

Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.

Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.

Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima

View attachment 1956217
Fimbo ya uraia inatumika na chama changu cha CCM huku ikifahamu namna ilivyopiga vita ubaguzi na hila za kutumia kabila la mtu, rangi yake na utaifa kama fimbo ya kisiasa.

Ifike mahala hawa wapinzani uchwara waachane na siasa za vichakani, tunashindwa kupata mbadala wa CCM kwa sababu wapinzani wapo bize kushusha handles, kuinuana na kupiga spana huku wakielea na boti ya udongo ya spaces
 
MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA
_____________________________________

Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.

Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.

Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.

Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.

Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.

Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.

Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.

Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima

View attachment 1956217


Hawa wanahangaika bure,

Rais 2021-2030 tayari yupo na ndio Mkt wa Chama,

Mimi nadhani niheri kujipanga 2030 otherwise wataliwa vichwa ndio watajua umuhimu na ukubwa wa CCM,
 
Wachovu wameanza kuhangaika, wanatafuta kukumbukwa kwenye teuzi.
Inawezekana kweli: gogo ni muongo tu lbd mchicha umemchosha,kuhusu kaburi la baba wa msukuma hata Kama hajafa lzm awe na kaburi? Maana msukuma bado ni kijana hivyo baba kuwa hai inawezekana,gogo aache kumgombanisha rais,makala na msukuma.
 
MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA
_____________________________________

Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.

Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.

Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.

Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.

Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.

Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.

Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.

Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima

View attachment 1956217

1. Unadhani ni nani mwenye haki ya kuweka raisi anayemtaka kwa mjibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

2. Ni kigezo gani umetumia kugundua kwamba uraia wa huyu mtu unautata?

3. Unaweza kutuambia alipitaje michakato ya michujo hadi akawa mbunge wakati si mtanzania? Kwa hili bado unaamini kwamba ccm ni chama makini iwapo kinaweza kutupa mtu bila kumfahamu uraia wake, aingie kwenye chombo cha kutunga sheria za nchi?

4. Unaweza kutufafanulia ni kwa namna gani huyu Msukuma anamkwamisha Rais?

5. Unajua kwamba unakiuka katiba ya nchi kufanya kampeni za kisiasa kabla ya muda ?
 
MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA
_____________________________________

Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.

Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.

Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.

Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.

Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.

Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.

Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.

Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima

View attachment 1956217
Mtajuana wenyewe

IMG_20210923_180327.jpg


IMG_20211001_112850.jpg
 
Saivi ukihoji sana na kukosoa una bambikiwa kesi au unaanza kuchunguzwa Uraia wako kwahio ina maana Viongozi wetu wanajua kua Watanzania hawanaga tabia ya Kuhoji kabisa??
Akihoji Tu anakua sio Raia wa nchi hii kwasababu DNA ya kitanzani Viongozi wanaijua ni KASUKU😂😂😂😂
 
Saivi ukihoji sana na kukosoa una bambikiwa kesi au unaanza kuchunguzwa Uraia wako kwahio ina maana Viongozi wetu wanajua kua Watanzania hawanaga tabia ya Kuhoji kabisa??
Akihoji Tu anakua sio Raia wa nchi hii kwasababu DNA ya kitanzani Viongozi wanaijua ni KASUKU😂😂😂😂
CCM wanatuona mazezeta wote yani hatuwezi kuhoji
 
Back
Top Bottom