CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,984
- 4,083
Aiseee,Kuna mganga yupo Morogoro ni jamaa yangu kabisa kuna siku Magufuli alienda kwake kwa mambo ya kitaalamu(Hii ni kweli kabisa sio hadithi ya uongo na ya kutunga)...basi mtaalamu akamwambia mh una vita kubwa sana katika chama chako na wanaokupinga na kukuhujumu ni wengi sana tofauti na wanaokuunga mkono wengi wanakupaka mafuta tu kwa mgongo wa kichwa na akamchana live opportunity ya wewe ya kuendelea kuishi ni ndogo sana kuwa makini na siku hiyo alienda kwa huyo mtaalamu na moja ya watu ambao wamo kwenye kundi la ukosoaji wa serikali iliyopo madarakani kwa sasa aliyekuwa na cheo kikubwa tu chamani by then...nadhani hapa kuna sumu wanapenyezeana baina ya kundi lile lililokuwa chini ya Marehemu na hili la sasa
Wewe ni mchonganishi,