Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,667
- 20,360
Kilichowakumba hasa kina Msukuma ni kutokukubali ukweli kuwa Magufuli hayupo. Waliweka imani zao zote juu ya utawala wa milele wa Magufuli kiasi kwamba wakasahau kuwa kuna Mungu na pia ana mipango yake.
Ni swala la wakati tu watazoea ukweli kuwa Jiwe hayupo na wataanza kuimba mapambio ya Kizanzibari. Msije kustaajabu huko mbeleni mkasikia lafudhi ya Msukuma imekuwa kama ya kipemba katika kujikomba kwa mama.
On a side note, CCM waliamini kuwa wakiwa peke yao serikalini mambo yatakuwa mepesi, cha ajabu leo hii wananyukana wenyewe kwa wenyewe. Na bado, tutaona na kusikia mengi.
Ni swala la wakati tu watazoea ukweli kuwa Jiwe hayupo na wataanza kuimba mapambio ya Kizanzibari. Msije kustaajabu huko mbeleni mkasikia lafudhi ya Msukuma imekuwa kama ya kipemba katika kujikomba kwa mama.
On a side note, CCM waliamini kuwa wakiwa peke yao serikalini mambo yatakuwa mepesi, cha ajabu leo hii wananyukana wenyewe kwa wenyewe. Na bado, tutaona na kusikia mengi.