Usinilazimishe nijadili masuala nisiyoyajua. Wewe kama umeaminishwa hapo Kinondoni, jadilimtu. Hapa Lumumba tunatema facts tu
mnafact ngap mnazotakiwa kuzijadili lumumba mpaka mchukue hii ndo fact yenu ya muhimu?? ndio maana nakushauri nenda shule ukasome ujue major na minor tatizo la Lumumba mna major minor na mna minor major hebu kaa tafakari mna mambo mangap ya kujadili hapa JF?? ndio maana baada ya kupata gesi mtwara mkampandishia mwananchi wa chini umeme na gesi yenyewe sababu shule ndogo.