Mkuu, kama unavyojua kuna orodha ya wabunge wa viti maalum ambao CHADEMA imewaweka kwenye hatari ya kuwafukuza kutokana na kumuunga mkono Zitto. Joyce Mukya ni mkojawapo. Huyu Joyce si tu anampenda Zitto kisiasa, bali pia ni mpenzi wake. Mbowe analijua hilo. Na inaelezwa kuwa moja ya sababu ya Mbowe kuendeleza ubakaji kwa Joyce ni kutaka kumkomoa Zitto. Hivyo hivi vita kati ya mbowe na Zitto ni zaidi ya uenyekiti wa chadema. Inaelezwa pia kuwa wakati Joyce aliposhiba mimba ya ambiwe, Zitto Kabwe alimtorosha nchini Uingereza ambako aliishi mpaka kajifungua mtoto.
tukirudi kwenye hoja, ili kumlaghai Joyce asitimuliwe, Mbowe akatumia ulaghai wake kuwa hatamfukuza Joyce ikiwa atakubali kuendelea kulala naye hasa kwenye jumba lake la kifahari huko Dubai.mtena kamdanganya eti ndoa yake na Lilian Mtei ikisanbaratika, yeye ndo atamilikishwa majumba hayo ya Dubai. Pia Joyce Mukya amehadaiwa kuwa ikiwa Mbowe atakuwa Rais wa nchi, yeye Joyce ndo anastahili kuwa First Lady na si Lilian Mtei ambaye hana mvuto