Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

Status
Not open for further replies.
Tatizo Lipo Hapa: Amefanya Unzinzi Kwa Tiketi Ya Chama.

Ikumbukwe Kuwa Siku Ya Tukio Mbowe Alitumia Nafasia Aliyonayo Katika Taifa Na Kuandika Barua Kwa Uongozi Wa Bunge Ili Kunbadilishia Root Mbunge Wa Viti Maalumu, Taarifa Ambayo Wagoni Hawa Wawili Wamekili Kuwa Haina Uongo Wowote Kwani Hawajapinga.

Hivi Angekuwa Raisi Ingekuwaje?

Na Tundu Lissu Akijua Kuwa Taarifa Hizi Nizakweli Hazina Hata Doa La Uongo, Hakupinga, Akasema Tuwaache Jamaa Chumbani.

Nahisi Pengine Waendelee Kumpa Maumivu Mtoto Wa Mzee Mtei
 
Uzinzi ni uzinzi tuuuu....Mbuyane Lisu. ...na sidhani kama Dr Mbowe anafurahia comment yako hiii.kwa hili umechemka.
 
Viongozi wa CHADEMA ni majanga tupu.

Kwa hiyo kumbe Mh. Mbowe ni mzinzi kwa maana nyingine, tuhuma hizi ni za kweli.

Sasa kama maswala ya Uzinzi ni private affairs. Vipi hili swala la kupewa millions pesa za Tanzania na wale wale kila mara alikuwa akipanda kwenye majukwaa alikuwa anawaita mafisadi.

Pesa za huyu kada wa CCM alizochukua nazo ni private affairs

View attachment 132573

Tunaomba tufahamu mipaka ya private affairs nchini

Kama ameweza kuijibu hoja ya uzinzi, kwa nini hakutaka kuijibu hoja ya "double agent" kwa maana kuwa, mchana ni mpiga vita mafisadi na usiku ni mpokea pesa za mafisadi

Rostam na mbowe ni wafanyabiashara sijui ajabu iko wapi hapo?
 
jamani joyce alimaliza yote, ishu nyingine ni kuingiza pesa za watanzania kutumia kwenye raha zake
 
Sawa ni binafsi lakini unapokuwa kioo cha jamii hizo tabia unatakiwa uziaacheeee.

Na kama utaendelea nazo basi jitahidi usilete madhara kwa jamii yako.

Hapa kiukweli mwenyekiti wangu kama ni kweli uliteleza.

Nakuamini sana lakini kwa hili limekudhalirisha wewe na nafasi yako.
 
nakubaliana na Mh. Lissu, swala la mahusiano siyo issue,kwa ugumu wa maisha wa sasa huwezi kuwadanganya wa-Tz kuhusu uozo wa watawala wetu!!
 
Kuna watu wameguswa sana na hili jambo la Mbowe.

Najiuliza kama Lilian Mbowe mwenyewe anachukulia poa na mambo yanaenda smoothly iweje akina MwanaDiwani wapige kelele hivi?

Hapa ukute wanamwonea wivu tuu Joyce Mukya na sio kwamba wanapigania maadili ya Mbowe!
 
Hilo ni la yeye kuamua. Mimi hainihusu.

Wewe inakuhusu?
Inatuhusu wote sema umeamua kujitoa ufahamu tu - CDM inatumia ruzuku ambazo ni kodi zetu ktk kujiendesha hivyo ni lazima vongozi wake wawe wasafi mbele ya jamii.

Lakini ingekuwa ni mm au wewe ambao ni nobody kwenye uongozi wowote ingekuwa sio ishu...... Kumbuka hapa tunamzungumzia kiongozi wa chama kikuu cha upinzani hapa Tz!
 
Kwa hiyo ugomvi wa baba na mama watoto hauwahusu ndio maanake bhasi poawa.
 
Inatuhusu wote sema umeamua kujitoa ufahamu tu - CDM inatumia ruzuku ambazo ni kodi zetu ktk kujiendesha hivyo ni lazima vongozi wake wawe wasafi mbele ya jamii.

Lakini ingekuwa ni mm au wewe ambao ni nobody kwenye uongozi wowote ingekuwa sio ishu...... Kumbuka hapa tunamzungumzia kiongozi wa chama kikuu cha upinzani hapa Tz!

Mimi mambo yake ya uzinzi hayanihusu hata kidogo. Hayo ni mambo yake na mkewe.
 
Hv mbowe angekuwa kapuya angekuwa uraiani? Nawasilisha.

upuuzi wa kapuya hauwezi ukasafishwa kwa upuuzi wa mbowe - CDM haiendeshwi kwa template za maccm, kumbuka CDM inajinasibu ni clean mbele ya umma hivyo haipaswi kufanana na ccm haswa ktk upuuzi!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom