Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

Status
Not open for further replies.
kamanda, ni mahaba tu dhidi ya mbowe yanakusumbua....ila kama mpenda mabadiliko nasema mbowe hafai tena amechafuka kwa tuhuma nyingi na wala sio hii peke yake.
chadema tunaviongozi wengi tu wenye uwezo mkubwa kuliko huyo mbowe, ni vema wapewe kijiti ktk uchaguzi wa ndani baadae mwaka huu.
 
Nakubaliana kabisa na Tundu Lissu.

Mambo binafsi ni mambo binafsi na hayana uhusiano wa moja kwa moja na uwezo wa kuongoza.

Yanapomuhusu Dj Mbowe ni mambo binafsi ila yapomuhusu Kapuya ni ya kitaifa. Tunaacha kuelewa kuwa viongozi wooote ndiyo kioo cha jamii na chama chake. Ila kwa chadema hiyo ni tabia yao maana katibu kachukua mke wa Mtu Mwe.yekiti kachukua pashkuna na kaiacha familia yake
 
Lissu, hapana. Uzinzi ni hatari kwa kiongozi yeyote. Madai kwamba uzinzi ni suala binafsi, basi hata wizi nalo ni suala binafsi. Vitabu vyoote vya Mungu vinakataza uzinzi na kwa wenzetu wazungu ni kosa kubwa kabisa. Uzinzi huathiri maamuzi, huvunja heshima ya mtu, hukera haufai, haufai, haufai. Mtetee kwa mengine lakini siyo uzinzi. Kwa nini wanasiasa wa Tanzania mmegeuza vyama vyenu na uongozi kama sehemu ya kufanyia uzinzi. Lissu, acha hizo. Uzinzi haufai na hautetewi popote duniani.

umeambiwa jk anao watoto 13, wawili ritz na salama mama alisha-dead, watano wa sally, swali ni jee, hao wengine si6 mama ya/za-o nani??!!
 
Wanachama wa Chadema akili zao kama za misukule.

Kwanini mnatetea Maovu kisa yanawagusa?

Kibaya ni kibaya tu.
siyo mwenzio akifanya ndo iwe mbaya ila wewe ukifanya ni poa.

Uzinzi utabaki uzinzi haijalishi cheo wala chama cha aliyezini na ukizini utaitwa Mzinzi tu.

Hakuna namna Mbowe ataacha kuitwa Mzinzi.

Tukemee tabia mbaya ya viongozi wetu..wanaleta aibu kwa taasisi wanazoongoza siyo kuwatetea.
 
Nashangaa sana Watanzania badala ya kushughulikia maswala ya kupanda Kwa bei ya vitu kama umeme na mengineo wamekalia kuongea mambo binafsi ya watu ama kweli ndio maana nchi haiend mbale kila uchao inarudi nyuma tu mara utasikia ati hakuna kazi siku mbili Kwa ajili ya sikukuu ya Mapinduzi tena ya Zanzibar ambayo ni nchi na isitoshe Tanganyika waliwapa sappoti siku ya kilele lakini cha ajabu serikali ya Tanganyika ati nayo imetangaza kupumzika Kwa siku mbili lol aibu gani hiyo kupoteza mamilion ya shilingi Kwa mamabo ya Zanzibar.Ulaya kuna vongozi ambao ni maGAY lakini wanachapa kazi vibaya sana Kwa maendeleo ya nchi zao na wananchi wala hawahoji mambo yao ati mbona kiongozi Yule ni GAY na hiyo yote Kwa kuwa ni mambo yake binfsi yeye atabeba msalaba Wake mwenyewe so wajameni tuache kuingilia mambo binafsi tujikite Kwa mambo yenye tija na Taifa letu

U.j.i.n.g.a unatugharimu sana Watanzania ndugu yangu,hata tukisoma hatuelimiki,tunaongozwa na hisia hasi zaidi,yaani yale ya msingi kwa taifa letu tunayaacha tunashabikia ya ya k.i.j.i.n.g.a na yasiyo na tija kabisa
 
Tundu Lissu mwenyewe ni mhanga.

Mwaka 2010 akiwa kwenye kampeni jimboni kwake Singida alikamatwa ugoni na mke wake kwenye hoteli ya Ikungi akiwa na Christowaja Mtinda, ambaye alikuja akampigania akapata ubunge wa viti maalumu. Ilibidi wazee wa kinyaturu waingilie kati kusuluhisha ndio yakaishe lakini mwanamke wa kikuria (mke wake Lissu) ilibidi abaki Singida hadi mwisho wa kampeni.

Sasa mtu kama huyu ataacha vipi kutetea ushenzi wa mwenyekiti wake? Familia zinaumia halafu unasema ni mambo ya chumbani, nonsense!!

kwa nini asitetee? si kama jk mwenye watoto 13 mama tofautitofauti lakini anawatetea mwinyi, makamba na kapuya waliobaka wanafunzi? kwani tofauti nini? au ukiwa ccm unaruhusu kula tu vitoto underage? na vip mamvi alivom mimba mbunge wa zama hizo arusha mjini, hakuzini yeye? au mimba aliichomeka kwa uwezo wa subhana wa taala bila kuzini?
 
Hizi ndio siasa za Hali halisi ya Tanzania!
 
Wanachama wa Chadema akili zao kama za misukule.

Kwanini mnatetea Maovu kisa yanawagusa?

Kibaya ni kibaya tu.
siyo mwenzio akifanya ndo iwe mbaya ila wewe ukifanya ni poa.

Uzinzi utabaki uzinzi haijalishi cheo wala chama cha aliyezini na ukizini utaitwa Mzinzi tu.

Hakuna namna Mbowe ataacha kuitwa Mzinzi.

Tukemee tabia mbaya ya viongozi wetu..wanaleta aibu kwa taasisi wanazoongoza siyo kuwatetea.

sawa tunakubali ila tuanze hivi...
1. jk ni mzinzi
2. mwinyi mbakaji
3. makamba mbakaji.
4. kapuya mbakaji
5. mbowe mzinzi

tukienda hivyo tutaendelea pamoko, vinginevyo ni mambo ya kuku anye kuku lakini si bata.
 
Kwa nini mtu akibaka, jamii nzima ilalamike wakati ni ishu kati ya mbakaji na mbakjwaji tu?

Lakini mbona ugoni ni kinyume cha sheria kama ni ishu binafsi?
 
Kiongozi kutembea nje ya ndoa si suala binafsi, rais wa Ufaransa kasababisha mkewe azimie kwa kuhusishwa na ngono nje ya ndoa baada ya gazeti kuandika uhusiano wake na mwigizaji wa kike nchini humo. Amebanwa na vyombo vya habari hadi kasema anaenda kwa Obama akirudi ndiyo atatoa uamuzi wake
 
Kuna mtu ambaye hazini jamani

nani bana asiyepeleka milingoti wewe? tena watu wenyewe sisi miafrika? watu wenyewe tukiamka moningi tu kitu hicho kaa mkuki na mkono umeupeka kunako. mashehe, mapadiri, wachungaji.....wooooote hao wanapiga libeneke ije kuwa mimi na wewe na yule sembuse jk na mbowe? clinton, obama menyewe wanalisongesha ile ile.
ni basi tu siasa za tz ni za kifalafala ndo maana tunakalia umbeya.
 
Kiongozi kutembea nje ya ndoa si suala binafsi, rais wa Ufaransa kasababisha mkewe azimie kwa kuhusishwa na ngono nje ya ndoa baada ya gazeti kuandika uhusiano wake na mwigizaji wa kike nchini humo. Amebanwa na vyombo vya habari hadi kasema anaenda kwa Obama akirudi ndiyo atatoa uamuzi wake

jk je?
 
Mambo yake binafsi hasa ya mapenzi siamini kama yanamwondolea sifa ya kuwa kiongozi mzuri, niliwahi kusikia za chini chini pia babu wa national aliwahi kuwa na msuguano na bibi wa taifa, iliiishia wapi sijui lakini wote tunamkubali mzee kistiki, maisha binafsi haswa ya mapenzi si kigezo cha kumhukumu mtu kwa ubora wake wa uongozi, angekuwa amekula rushwa kuuza raslimali za nchi hapo sawa
 
kamanda, ni mahaba tu dhidi ya mbowe yanakusumbua....ila kama mpenda mabadiliko nasema mbowe hafai tena amechafuka kwa tuhuma nyingi na wala sio hii peke yake.
chadema tunaviongozi wengi tu wenye uwezo mkubwa kuliko huyo mbowe, ni vema wapewe kijiti ktk uchaguzi wa ndani baadae mwaka huu.


watakuita msaliti sasa hivi...kama si kuku chacha wangwe au kukula kisusio
 
kamanda, ni mahaba tu dhidi ya mbowe yanakusumbua....ila kama mpenda mabadiliko nasema mbowe hafai tena amechafuka kwa tuhuma nyingi na wala sio hii peke yake.
chadema tunaviongozi wengi tu wenye uwezo mkubwa kuliko huyo mbowe, ni vema wapewe kijiti ktk uchaguzi wa ndani baadae mwaka huu.

zito ni usaha ulioza na kunuka ule, tumeshautumbua, hatuwezi kuurudisha tena ndani ya donda...kalaghabaho mgoshi, ccm oyeeeee!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom