Half monked
Member
- Apr 10, 2015
- 47
- 11
We ni kenge mla makombo tu ya riz1!
Mkuu Ridhiwani umeeleweka vizuri sana. Aliyekuwa akikutuhumu kwa utajiri huko CHADEMA ni Dkt Slaa na yeye leo anatuhumiwa na CHADEMA wenzake kuwa ni tajiri wa mabilioni baada ya CCM kumuhonga pesa. Haya ndio maisha.
Tufike mahala tuache kuwa wajinga kuisisha familia ya rais mstaafu ni uonevu na majungu yasiyo na tija kama ni fitina za kisiasa ndio zinaleta haya yote basi tukae tukijua majungu hayajengi
Mwana huyo huyo Jana alikuwa kashikwa maka....li. na MTU yule yule.
Kwa hisani ya gazeti la Mawio.
Sijaona mpaka sasa aliekuja japo na punje ya ushahidi dhidi ya Ridhwan nnachokiona ni manyumbu yanahaha, yanahororoja na kubwabwaja bila mpango.
Tufike mahala tuache kuwa wajinga kuisisha familia ya rais mstaafu ni uonevu na majungu yasiyo na tija kama ni fitina za kisiasa ndio zinaleta haya yote basi tukae tukijua majungu hayajengi
Tufike mahala tuache kuwa wajinga kuisisha familia ya rais mstaafu ni uonevu na majungu yasiyo na tija kama ni fitina za kisiasa ndio zinaleta haya yote basi tukae tukijua majungu hayajengi
Hahaha lete ushahid unao onyesha utajiri wake unafikia Trilion 5 tuzitaifishe
wewe unayebisha ndiye ulete ushahidi wa kuonyesha kwamc utajiri wake ni chini ya bilion 5, sio unabisha bila ushahidi. mpuuzi mkubwa wewe!
kupotea tu,kwa hayo makontena huku serikali ikiwa kimya ni ushahidi tosha
Umesahau wakwele walivyo?Majibu Ya Riziwani Na Tuhuma Za Kufungwa Kamba Za Viatu Yalishatapakaa Siku Nyingi Sana, Na Hakujibu. Ajabu Anayelaumiwa Zamu Hii Ni Makonda Lakini Anayejitetea Ni Mtoto Wa Mfalme, Kwanini Basi Makonda Hajajibu Tuhuma Hizi Dhidi Yake Instead? Pilipili Ya Shamba...,