Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

Status
Not open for further replies.
nadhani twende katika mada ya msingi hii ya talaka na madhehebu ya dini haitufikishi popote.
 
hapa naona leo tuna mada mpya kuhusu Talaka, Ila nadhani ni jambo jema na la kumtendea haki Marehemu kama tukaendelea na mjadala wa kutaka suala zima la uchunguzi wa kifo chake ufanyike ili tuachane na yasemwayo kila kona ya tanzania.
 
Ndio maana nakubaliana na Mzee ES kuwa sisi hapa JF tunadai kuwa serikali yetu ni ya kisanii wakati tunasahau sisi ndio wasanii namba moja.

Tushamhukumu na kumtia hatiani Nchimbi kwa ushahidi wa hearsay tu( mwingi tume ugenerate hapa JF)

Na kwa kuwa ni kiongozi wa CCM it suit us to create a lie and repeat it several times, and now its accepted as a truth! lakini the real culprit Zitto is over protected here and nobody has the guts to mention him. Na huo ndio usanii wenyewe

Ukim question Zitto watakuja ( I know mtakuja ) ma-advocate wake na kuanza kudai ushahidi, sijui mambo binafsi, udaku, hayana maslahi ya umma, hakuna msafi and all bullshit.. u name it.

Lakini mnamshambulia (mzushia) Nchimbi lawama kadhaa wa kadhaa hamna ushahidi zaidi ya hearsay. Walau huyo Nchimbi against all odds amekuwa na guts za kwenda mazikoni and face it, what abt our beloved brother Zitto? nasikia ameonekana ana kata bia zake Dom huko he couldnt careless! All he has done ni kutunga shairi na kuliweka TD.

Hii kudai eti Nchimbi mchawi is the mother of all smokescreen! Chadema should know this better, mbona hakumuua Advocate Mbogoro alie mpeleka puta ktk kinyang'anyiro cha kugombea ubunge kule Songea mjini? tena alim-bana kweli mbona Mbogoro anadunda mpaka leo. Wakati mwingine mnawapa ujiko watu/mnawaharibia majina yao pasi na sababu yeyote.

Inanikumbusha nilipokuwa mdogo tulikuwa tunaambiwa Mwalimu (Nyerere)alikuwa mchawi sana na asili ya uchawi wake ni mama yake. Vilevile kile kifimbo chake ndio silaha yake ya maangamizi na kuna riwaya inasema aliwahi kukisahau mahala mezani watu walishindwa kuichukua eti ili ganda! mpaka alipokuja mwenyewe! na uzushi mwingi tu ambao mtu akisema sasa ataonekana mwehu tu.

Huu usanii wenu ndio unapeleka focus yote kwa Nchimbi lakini m-baya mnamjua nani.. No wonder tunaambiwa tusijadili ufuska na wizi wa Dr Slaa!
 
Well,

Naomba kwa wakati huu masuala ya DINI na TALAKA kama walivyoshauri wengi tuviweke kando. Ni ombi lakini frankly speaking tunaweza kusomeka vingine japo ni mawazo ya wachache wetu. Niwieni radhi kwa kuingilia mjadala lakini naomba tubadili attitude kwa wakati huu.

Shukrani kwa uelewa
 
Mtaniwia radhi na nakuomba ndugu INVISIBLE utuwie radhi sie WAISLA ambao marehemu AMINA alikuwa ni NGUGU yetu kama ambavyodini yetu inaturuhusu na obviously tuna kila right ya kukasirika na kuwa emotional kama binadamu kutokana na mazingira ya kifo chake na tuna kila right ya kukasirika na kuquestion wale ambao wanataka kuufanya msiba huu kuwa PLATFORM yao ya kuendeleza political ambitions zao.

Tatizo lilianza pale niliposema kuwa WAGALA wametake over the whole shughuli, Baba wa marehemu kutoka statements kila wakati , marehemu suswalishwa na SHEKHE MKUU WA BAKWATA ambao ma sponsor wao wakubwana ni WAGALA na of course funding yao kubwa inatokana na kodi za madanguro na mapombe za hao wezi kama akina serengeti lakini kutokana na MWANAKIJIJI kuwa sensitive baada ya kuona picha ya ma sista na kaanza kuquestion kwa nini nawasema wakatoliki

suala la pili ni lile la waliouliza nafasi ya MEDI MPAKANJIA ambaye KIISLAM alikuwa siyo LEGAL HUSBAND WA AMINA CHIFUPA lakini naye alikuwa haishi kuuza stori magazetini kusema kuwa AMINA ni mumwe and so on. Of course BABA yake amina mzee CHIFUPA alikuwa complicit na msije shangaa kuwa MZEE CHIFUPA naye anataka kuwa MBUNGE kwa mgongo wa kifo cha mwanae na kutokana na jinsi wagala walivyo huyu mzee watampa tuu.

MASHIA wanazo talaka idadi wanazotaka, Manasara halikadhalia, bila kuwasahau hao ANSAR Sunna ambao AMINA CHIFUPA hakuwa memba wa hayo madhehebu sasa iweje leo tunalazimishwa kukubali kuwa alipewa talkaa MOJA kati ya 3? Vipi mnataka kutulazimisha tukubali hii deliberate distortion ya Talaka kwenye uislam?

Na tangu lini, SEPARATION ikawa TALAKA?

invisible i AM SORRY TO DIFFERE WITH YOU IN PUBLIC LAKINI HUWEZI KUTUAMURU TUMUOMBOLEZE VIPI DADA YETU NA ITS OBVIOUS TUTAKUWA NA DIFFERENCES ZETU LAKINI NAOMBA UTUACHE HATUWEZI KUMDISCUSS AMINA BILA KUDISCUSS NDOA YAKE NA LEGALITY ANAYO CLAIM MPAKANJIA KUWA BADO NI MUMEWE ILI HALI TUNAJUA KUWA NI BABA WATOTO WAKE
 
Masatu

Zitto Na Nchimbi Wote Kitu Kimoja, Tofauti Ni Kuwa Nchimbi Keshatajwa Kwenye Zaidi Ya Incident Moja

Hizo Zote Ni Njama Za Wagala
 
barabaraya18!

I see? Am such a fool... I beg for your excuse for interfering. Mara zote mzee huwa uko kinyume nami na hilo halina shaka lakini nitakapoona unazidi I will deliver what am required to deliver.

I do respect thee but we need to think before we click ENTER. Just think... Fikiria muda huu ni muda gani kwa ndugu na jamaa wa marehemu. Kuwa na staha kidogo jama! Naelewa yote mnayoongea yanaweza kuwa mazuri na ya kuelimisha jamii lakini THINK!

Soma majira brother
 
Barabaraya18,

Usihamaki. Nakuomba tujadili hii sheria ya talaka kwenye thread nyingine kusudi utupe mawanga zaidi wale tunaoielewa nusususu. Kutuita "mayahudi" eti tunataka kuteka dini yako ni kuvuruga ustaarabu wa mjadala. Tunafurahi unavyojitahidi kufafanua mambo tusiyokuwa na uelewa nayo kuhusu kanuni hii ya talaka. Kwa sasa ni vizuri tuliache hapa ili tuendelee na mengine kuhusu msiba.
 
That's what I (and probably others) observed kuwa hoja sasa inaweza kubadilika na kuanza masuala ya UDINI kitu kilichofunga mjadala wa Nyerere (enzi za mwanzoo) na hadi sasa nashindwa kurejesha hoja ile kwani watu walizidi kukashifiana na mwishowe wakaanza kutukanana LIVE.

Mi sipingi hoja yoyote kujadiliwa lakini tuangalie side effect ya hoja. Huwa sipendi kujibu hoja zote lakini zile ambazo naamini ni vyema niseme kabla ya kuchukua maamuzi binafsi huwa nalazimika kusema. Aidha ingependeza tukafungua thread zenye mlingano na hoja husika ambako si tutamwongelea Amina tu bali dini kwa ujumla wake tukiongelea masuala ya talaka and all the stuffs related.

Ndio maana huwa nasisitiza watu kusoma majira na kuendana na hali halisi. To differ with me is not a prob, lakini nini picha yetu kwa jamii? Kukosea member mmoja au wawili bila kuwakumbusha ni kutotimiza wajibu. Wajibu wangu ni kukumbusha kuwa majira haya si masika... Kiangazi baba!
 
Barabaraya18,

Usihamaki. Nakuomba tujadili hii sheria ya talaka kwenye thread nyingine kusudi utupe mawanga zaidi wale tunaoielewa nusususu. Kutuita "mayahudi" eti tunataka kuteka dini yako ni kuvuruga ustaarabu wa mjadala. Tunafurahi unavyojitahidi kufafanua mambo tusiyokuwa na uelewa nayo kuhusu kanuni hii ya talaka. Kwa sasa ni vizuri tuliache hapa ili tuendelee na mengine kuhusu msiba.

nionyeshe wapi nimemuita mtu YAHUDI?
 
Right... I have a good solution for this. Niwieni radhi kwa uamuzi huu ninaouchukua kwa sasa.

Be Right Back
 
That's what I (and probably others) observed kuwa hoja sasa inaweza kubadilika na kuanza masuala ya UDINI kitu kilichofunga mjadala wa Nyerere (enzi za mwanzoo) na hadi sasa nashindwa kurejesha hoja ile kwani watu walizidi kukashifiana na mwishowe wakaanza kutukanana LIVE.

Mi sipingi hoja yoyote kujadiliwa lakini tuangalie side effect ya hoja. Huwa sipendi kujibu hoja zote lakini zile ambazo naamini ni vyema niseme kabla ya kuchukua maamuzi binafsi huwa nalazimika kusema. Aidha ingependeza tukafungua thread zenye mlingano na hoja husika ambako si tutamwongelea Amina tu bali dini kwa ujumla wake tukiongelea masuala ya talaka and all the stuffs related.

Ndio maana huwa nasisitiza watu kusoma majira na kuendana na hali halisi. To differ with me is not a prob, lakini nini picha yetu kwa jamii? Kukosea member mmoja au wawili bila kuwakumbusha ni kutotimiza wajibu. Wajibu wangu ni kukumbusha kuwa majira haya si masika... Kiangazi baba!


You see this is where you go wrong. Unalazimisha kila mtu humu ndani awe ANALYST jambo ambalo ni gumu. Guidelines za mijadala ipo na hakuna aliyemtukana mtu sasa hili la kulazimishwa sie wengine tuwe kama alikan KYOMA na MWANASIASA ambao kusema kweli ni mahiri wa kuelezea mambo kama ma profesa

Lakini usitudharau na sie wengine ambao hatuna uwezo huo wa kuflow kama hao waheshimiwa.Sasa hivi ninahisi utakuwa unapata PRIVATE MSGS kuwa ufute baadhi ya post zetu humu lakini hiyo sisi wengine haitusumbui kwani its already a part of JF life ambayo tulishaikubali.Lakini mheshimiwa kila siku huwa nakuambia kama unakuwa BABA kwenye nyumba huwezi ukawabagua wanao kutokana na uwezo wao wa kujieleza, na kwa taarifa yako hili la kutuauru tusijadili uhalali wa talaka ya marehemu AMINA na MEDI ni kosa kubwa na linazidi kuwa osa pale tunapokatazwa tusizungumzie imani zetu za kidini ambazo tunashare na Marehemu

I am sorry lakini hoja za udini sikuzileta mimi bali alizileta huyo MWANAKIJIJI sasa yeye mbona haambiwi kitu?

ndugu yangu NAKUOMBA UTUPE NAFASI TUKAENDELEA NA MJADALA wetu bila hofu ya kufungiwa na kufutian posts maana kuna hoja nyingi zimejibiwa mbazo nilitaka ku counter argue. Sisi hatutukanani na wala hatujamtkana mtu sasa iweje unakuwa all of a sudden sensitive?

TAFADAHALI TUNAOMBA UTUACHIE NAFASI
 
nadhani twende katika mada ya msingi hii ya talaka na madhehebu ya dini haitufikishi popote.


Never under estimate umuhimu wa madhehebu kwa wenye imani za kidini na haswa waislam

Sasa unataka kutuambia kuwa MASHIA ni sawa na SUNNI? sasa hiii hoja haiwezi kwenda mbele bila kukubali nafasi ya madhehebu na hukumu zao katika hili
 
mhhh haya

xx50.jpg
 
Barabara 18

Chanzo cha yote ni Zitto lakini watu wana spin hapa kumtupia lawama Nchimbi.

Mimi namshangaa sana Mwanakijiji, yeye ndiye alikuwa mstari wa mbele kumtetea Zitto akidai "mnaotaka Zitto aseme je aseme nini" na utetezi usio na kichwa wala miguu lakini walio na macho waliona sina haja ya kurudia ( rejea thread ya wakubwa na marupurupu) Ironically wazazi wa marehemu time and again wanasisitiza mapenzi wa mungu yamepita na hakuna foul play, cha kushangaza huyu Mwanakijiji analazimisha ( though by implication) kila mtu hapa akubali kuwa Nchimbi ndiye anahusika moja kwa moja na kifo cha AC. Hii ni hatari sana kwa ustawi wa familia na jamii kwa ujumla, sumu anayoeneza mwanakijiji ni mbaya sana. Mara ooh Scotland yard mara ugonjwa Waziri Kayombo kuna mkono wa Nchimbi na upuuzi kibao, bro watch out unapanda mbegu mbaya sana.

Amina kafia hospitali na sio kwa mganga wa kienyeji, standard procedure kunakuwa na postmortem na results watakuwa nazo ndugu wa marehemu ambao wanasema point blank kuwa hakuna foul play. Watu wana question mpaka uwezo wa muumba kuchukua mja wake eti haiwezekani 26 yrs old akafa kwa sukari! sijui mnapata wapi hiyo wanakufa watoto wadogo kwa sukari sembuse 26 yrs old. Mnalundika ma conspiracy theories kibao, mara genge wa wauza dawa za kulevya, mara karogwa, mara Nchimbi which is which sasa? spinning tu.

Hii tabia ya kutafuta ujiko kutoka kwa marehemu haifai jamani, kwani ule mradi wa Ukraine umeishia wapi? there is alot ujiko there, what abt petition Msolla ajiuzuru? mwacheni Amina apumzike.

Mnataka kumtumia Amina mpaka ktk umauti wake kwa manufaa yenu ya kisiasa its really sad.
 
Ndio uzuri wa JF. Tunapata mawazo tofauti yanayokingana lakini yaliyojaa logic. Keep it up Masatu and mwanakijiji.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom