voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,551
- 11,881
Ni kwa sababu wengi tuliokerwa na kauli ile tunapenda na yeye aje atujibu humu.
#Zittokabwe
Swali rahisi kwa kauli yako Zitto Zuberi Kabwe, uliyoitoa kule Club House .
Je! wewe hukuzikwa na mama yako sababu ulikuwa humpendi na ulifurahia pale alipofariki?
Au hukuzikwa naye kwa sababu wewe sio Muha kama unavyotuaminisha?
Maana roho na matendo yako ni ya Kihutu zaidi ya Kiha.
Je!
Kama hiyo ndio kauli toka kwa mtu ambae umekuwa ukigombea uongozi na kuaminiwa kwa nyakati tofauti.
Ni wazi sasa tuelewe kariba yako ilivyo na roho mbaya iliyojawa na visasi!
Zitto acha umamluki wa kisiasa.
Zitto acha ubinafsi na udini.
Tunajua baba mkwe wako na genge la CAG Assad liliumia ghafla.
Usitake tukumbuke ya Marehemu Amina Chifupa na Mume wake Mohamed Mpakanjia.
Wala usitake tukumbuke ya Deo Filikunjombe.
Zitto huna usafi wowote katika jamii ya watu wasafi na wanasiasa wa nchi hii.
Kama uongo njoo hapa wewe mwenyewe unijibu
Mengi yako yanajulikana.........
commonmwananchi
10101.
View attachment 2197511
#Zittokabwe
Swali rahisi kwa kauli yako Zitto Zuberi Kabwe, uliyoitoa kule Club House .
Je! wewe hukuzikwa na mama yako sababu ulikuwa humpendi na ulifurahia pale alipofariki?
Au hukuzikwa naye kwa sababu wewe sio Muha kama unavyotuaminisha?
Maana roho na matendo yako ni ya Kihutu zaidi ya Kiha.
Je!
Kama hiyo ndio kauli toka kwa mtu ambae umekuwa ukigombea uongozi na kuaminiwa kwa nyakati tofauti.
Ni wazi sasa tuelewe kariba yako ilivyo na roho mbaya iliyojawa na visasi!
Zitto acha umamluki wa kisiasa.
Zitto acha ubinafsi na udini.
Tunajua baba mkwe wako na genge la CAG Assad liliumia ghafla.
Usitake tukumbuke ya Marehemu Amina Chifupa na Mume wake Mohamed Mpakanjia.
Wala usitake tukumbuke ya Deo Filikunjombe.
Zitto huna usafi wowote katika jamii ya watu wasafi na wanasiasa wa nchi hii.
Kama uongo njoo hapa wewe mwenyewe unijibu
Mengi yako yanajulikana.........
commonmwananchi
10101.
View attachment 2197511