Mmmmm.ama Kweli Jf Ni Kiboko,mpaka Leo Thread Ya Ac Na Zt Na Mpj Imefikia 15,000 Na Ushee.
Kama Wanajf Wangekuwa Wanaxchangia Mada Zingine Kama Hizi Kwa Manufaa Ya Nchi Yetu Tungekuwa Tayari Kwenye Rekodi Ya Dunia,(geness Would)kwa Kushambulia Maovu Ya Nchi.
Na Watu Wangekuwa Wamepata Elimu Kubwa Ya Kutumikia Wananchi. Lakini Imekuwa Kama Tuna,ushuhuda Mkubwa Saana Wa Ngono.jamani Kweli Mada Hii Imeonyesha Jinsi Wajf Wanavyopenda Umbea,udaku Usiokuwa Na Msingi.ukweli Bado Fikira Tuu Mpaka Hapo??????????je Ingekuwa Kweli.mambo Yangekuwaje??????????????.
Mtu Anaumwa simu Lakini Wapi,tujibu,tuambie,ugonjwa Gani,mpaka Mnachosha.kwani Mmeambiwa Mada Ni Ya Ac,zit Tuu.na kama mtu ameshasema ninaumwa mnataka nini tena????????????.
Kumtoa Roho mpj wa watu.mwachie ya musa ayamalize mwenyewe.
Tumwache Mweshimiwa Wetu,tulimpendekeza Wenyewe,watu Awana Hata Kikomo Cha Matusi.we Wachaaaaaaaaa,/////???????? matusi Basi Mshikaji.
Ushauri:Amina Kinya Kama Ulivyo,
Zito Kama Ulijua Kufunga Mdomo Ni Heri.madhara Ni Maku???
Kusema Sema Ovyo.
Mkj Subira Yavuta Heri,sikio liliponza kichwa ,mdomo Ni Wa Kula Si Wa Kubwabwaja
Nch,fika Hapa Omba Radhi Kwa Familia Ulioikosea.dddddddd,tena zote mbili,na wajf wote.
Naomba kuwakilisha.