Karma imelipa tayari.

Karma imelipa tayari.

Inspector General mstaafu wa Kenya Police Service Joseph Boinet, Aliwahi kuwambia Polisi kuwa kwa sasa Mazingira ya Ku operate yamebadilika sana ivo Polisi nao wabadilike katika individual level, Bila kufanya Ivo Watashindwa kufanya Kazi Comfortable kabisa ule Upolisi wa zamani kwa zama hizi za digital sio kabisa

Juzi Kwenye maandamano ya kupinga Mauaji ya Albert Ojwang Kuna Polisi walifyatua risasi na Kumjeruhi Vibaya mno Muuza Face Mask za maandamano iyo kitu imeenda Viral sana na Jeshi la Polisi tayari limewakamata hao Polisi watatu waliokuwa wamefanya iyo Kitu na tayari wameshakuwa aligned kwenye Court.

Hii tafsiri yake ni nini tunaelewa Kwenye Majeshi kumaintain Order ni Muhimu sana ila nawashauri Polisi wasivuke Utu, Huwezi Kumtolea mtu bastola au Kutaka Kudhuru Civilians ambae yupo unarmed kabisa.

Kuna jamaa alikuwa recorded akipiga watu Virungu nje ya Kisutu mahakamani wiki kadhaa kutawanya watu ambao hawakuonesha Threat kabisa na walikuwa willingly kutawanyika yule jamaa ana miwani na alipiga piga watu virungu pale. Footage yake ipo na it's matter of time, Justice will face him inaweza kuchelewa ila he will pay for what he did to innocent civilians

Polisi bongo mjifunze sana Kuwa kuna kesho hao wanakupa order likivurugika hakuna atakaesimama na wewe utatolewa kafara tu, Leo Mkuu wa Kituo cha Polisi nairobi anamkana DIG Lagat kuhusu issue ya Ojwag kufikia Kituoni apo
Polis wa bongo ni vichwa vigumu, wakati nipo taasis kubwa ya ulinzi na usalama nchini wakati huo tulikuwa tukionywa sana kujipendekeza kwa wanasiasa

Mwanasiasa atakutuma ufanye jambo fulani, likiharibika anakukana kesi unabeba wewe kama wewe
Na mahakaman cheo chako kinawekwa pembeni, unashitakiwa wewe
 
Wakati akifanya haya yote yupo wa/aliyekuwa nyuma yake,je nao/naye amekumbwa na karma?.Na kama angedhibitiwa tangu wakati wa tukio la Nape si labda huenda huyo Mfanyabiashara angenusurika?.Leo tunashangilia karma na je huyo Marehemu naye alipatwa na karma ya nani?.
Wachina alikuwa akiwatishia kuwabambikia kodi anawakamata anawasweka ndani siku moja mbili akiwaachia wanampelekea mamilion amewatesa wengi
 
Mkuu sijui nisemeje ila hakuna uuaji mzuri wacha aende jela huyo mnyama ambae afahi kuishi na binadamu yule dogo walichomfanyia hata hiyo hukumu ni ndogo.
Kwa nini asingenyongwa kbs kenge huyo? Nilidhani ni miongoni mwa wale wawili waliohukumiwa kitanzi!
 
Ivi huwa hawana mahakama zao kama ilivyo kwa JWTZ?
Huko huwa wanapelekwa wale walioikosea Serikali.

Wananchi wakikosewa wanapelekwa mahakama za wananchi ambazo kuna loopholes nyingi za kuchomoka.
 
Polis wa bongo ni vichwa vigumu, wakati nipo taasis kubwa ya ulinzi na usalama nchini wakati huo tulikuwa tukionywa sana kujipendekeza kwa wanasiasa

Mwanasiasa atakutuma ufanye jambo fulani, likiharibika anakukana kesi unabeba wewe kama wewe
Na mahakaman cheo chako kinawekwa pembeni, unashitakiwa wewe
Haya hawayaelewi kabisa Mkuu, Katika taasisi ambazo zinapaswa ziwe mbali na wanasiasa ni Hizi za Ulinzi lakini ilo hawalioni kabisa.
 
Safi sana,hata hawa wengine wanaoteka watu na kuwaua katika awamu hii nao watatafutwa na kushitakiwa na kuhukumiwa.

Ukiua kwa upanga utauawa kwa upanga,ni suala la muda tu haki ya Watanzania walioumizwa na kudhulumiwa haki yao ya kuishi itapatikana, iwe ni kwa jasho au kwa damu, lazima watu wajue na kujifunza kuishi kwa kuheshimiana,madaraka na vyeo ni vya muda tu.

Kuna wengine wanalazimishwa kufanya uovu,wito wangu kwenu,tunzeni ushahidi maana mkija kuhojiwa mkaonekana hamna ushihidi wowote nyinyi ndio mtakaobeba hiyo hukumu.
 
View attachment 3380802
Ilianza hivi


View attachment 3380803
Ikaja hapa

View attachment 3380806
End .


Lesson kila ubaya utalipwa
Mwigulu Nchemba aliwahi kukanusha kwamba Jeshi la Polisi halina mwajiliwa mwenye juna hilo wala huyo mtu aliye pichani siyo Polisi.

 
Back
Top Bottom