EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,189
- 20,636
Huku itekelezwe haraka akakutane na yule aliyemtuma kumnyyoshea pisto kichwa kabeji
Du!Typing error mkuu keyboard zetu
Chief inaonekana unapenda ligi kweny vitu vidogo ,mm nkiona sentence najua huyu mtu alipaswa aiweke hivi
Hivi Kisa kilikuwajeHuyu jamaa amemuua kikatili sana yule dogo.
Yani mtu anadai pesa zake halafu anaishia kuuwawa kikatili namna ile?Ningekua ndio Rais wa hii nchi watu kama hawa nasaini mara moja tu ili hukumu zao zitekelezwe chap.
Muheshimu Dada yangu ni shangazo yako maana mimi ni kibenten wa mamaako.Unamuuliza nani? Mimi sio Dada labda Dada yako wa Namtumbo.
We jamaa bana nakufananisha na mwamba ambaye yuko utupu anashauriwa na watu achutame lakini anang'ang'ania kusimama wima,haya endelea kusimama wima aibu ya utupu wako iendelee kuonekanaChief inaonekana unapenda ligi kweny vitu vidogo ,mm nkiona sentence najua huyu mtu alipaswa aiweke hivi
Neno beach ndo limeleta haya yote chiefWe jamaa bana nakufananisha na mwamba ambaye yuko utupu anashauriwa na watu achutame lakini anang'ang'ania kusimama wima,haya endelea kusimama wima aibu ya utupu wako iendelee kuonekana
Acha ushamba, Kila taasisi ya kijeshi Ina mahakama yake ya ndani.Hawana ila hata JWTZ mahakama zao zina utaratibu wake maalum ila zinafanya kasi zaidi hasa wakati wa Vita.Wakati wa amani hazitumiki sana.Mkosaji anaweza hukumiwa mahakama za kiraia
Sasa mahakama za kijeshi ushangae hakuna wakili wala hakuna kujitetea huwa unasomewa shitaka na adhabu.
Mahakama za kijeshi uzuri wake unashitakiwa kwa kosa ambalo liko wazi umetenda.Sio huku uraiani dereva kaua kwa uzembe kibaya zaidi hata leseni hana lakini utasikia uchunguzi unaendelea
Sawa chief yameishaNeno beach ndo limeleta haya yote chief
JW kesi za kiraia unapelekwa hukohuko uraiani,mahakama za kijeshi mostly zinadeal na mambo ya jeshiniIvi huwa hawana mahakama zao kama ilivyo kwa JWTZ?
Lukosi Ndauli?Chris Lukosi endeleeni
Huna akili ..ebu tuonyeshe habari inayosema watuhumiwa wa ubakaji waliachiwa bibie??Hawajui kitu hao ni serkali inajaribu kujisafisha. Hamna kitu hapo huoni watuhumiwa wa Ubakaji wa yule Dada? Labda sio Tanzania ninayoijua.
Msiseme hivi, hamjui DuniaHuyu jamaa tayari anaenda kufia gerezani kwa ujinga wake na tamaa
Japo ni binadamu lakini kwa huyo Nape sijuhi kwanini alitoa bastola kuacha kuitumia!View attachment 3380802
Ilianza hivi
View attachment 3380803
Ikaja hapa
View attachment 3380806
End .
Lesson kila ubaya utalipwa
Kuna ubaya gani kunielewesha bila kunitukana unatukana usiyemjua kukosa ajira mbaya sana mimi umri wangu ni mkubwa kuliko baba yako na baba yako namfahamu na alikuwa mwanafunzi wangu secondary na darasaniAcha ushamba, Kila taasisi ya kijeshi Ina mahakama yake ya ndani.
JWTZ- court Martial
Polisi- Defaulter Procedure.
Hizi Zinatry makosa ya kinidhamu, inapotokea makosa yanaangukia katika jinai utaratibu ni kuwa mkosaji atakuwa tried kwenye mahakama ya ndani then anapelekwa mahakama ya kiraia kuwajibishwa, awe polisi au askari wa Jeshi la wananchi.
Rejea ishu ya kufirw@ ya Cpl Rama kule Unguja, alikuwa tried mahakama ya ndani ya polisi na kupatikana na hatia akafukuzwa kazi, katika mahakama ya kiraia alishinda kesi lakini hakurudishwa kazini kwa sababu tayari mahakama ya ndani ya polisi ilishamkuta na hatia, so usiseme hakuna tribunals kwenye hizi taasisi popoma wewe