Karma imelipa tayari.

Karma imelipa tayari.

Waache wakomeshane tu.Mmoja mwizi,jambazi,mporaji,mtekaji na muuaji na huyo mwingine ni kizabizanina,muongo, mfitini,kamdomodomo ,mtakatishaji,mwizi na mbakaji wa haki na demokrasia.Watajijua wenyewe.
 
Bado Makonda na chura kiziwi damu zisizo na hatia lazima lipiwe kisasi
 
Inaonekana jamaa kaua sana mpaka alifikia kutoa siraha hadharani huyo kaenda jela kwa karma za makosa mengi ya kuua na alipofatilia mfumo ulimlinda ila karma haijamuacha salama..
 
Inspector General mstaafu wa Kenya Police Service Joseph Boinet, Aliwahi kuwambia Polisi kuwa kwa sasa Mazingira ya Ku operate yamebadilika sana ivo Polisi nao wabadilike katika individual level, Bila kufanya Ivo Watashindwa kufanya Kazi Comfortable kabisa ule Upolisi wa zamani kwa zama hizi za digital sio kabisa

Juzi Kwenye maandamano ya kupinga Mauaji ya Albert Ojwang Kuna Polisi walifyatua risasi na Kumjeruhi Vibaya mno Muuza Face Mask za maandamano iyo kitu imeenda Viral sana na Jeshi la Polisi tayari limewakamata hao Polisi watatu waliokuwa wamefanya iyo Kitu na tayari wameshakuwa aligned kwenye Court.

Hii tafsiri yake ni nini tunaelewa Kwenye Majeshi kumaintain Order ni Muhimu sana ila nawashauri Polisi wasivuke Utu, Huwezi Kumtolea mtu bastola au Kutaka Kudhuru Civilians ambae yupo unarmed kabisa.

Kuna jamaa alikuwa recorded akipiga watu Virungu nje ya Kisutu mahakamani wiki kadhaa kutawanya watu ambao hawakuonesha Threat kabisa na walikuwa willingly kutawanyika yule jamaa ana miwani na alipiga piga watu virungu pale. Footage yake ipo na it's matter of time, Justice will face him inaweza kuchelewa ila he will pay for what he did to innocent civilians

Polisi bongo mjifunze sana Kuwa kuna kesho hao wanakupa order likivurugika hakuna atakaesimama na wewe utatolewa kafara tu, Leo Mkuu wa Kituo cha Polisi nairobi anamkana DIG Lagat kuhusu issue ya Ojwag kufikia Kituoni apo
 
Back
Top Bottom