Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 20,325
- 62,205
Watuhumiwa wa ubakaji wa huyo Dada wamefanyaje?Hawajui kitu hao ni serkali inajaribu kujisafisha. Hamna kitu hapo huoni watuhumiwa wa Ubakaji wa yule Dada? Labda sio Tanzania ninayoijua.
Watuhumiwa wa ubakaji wa huyo Dada wamefanyaje?Hawajui kitu hao ni serkali inajaribu kujisafisha. Hamna kitu hapo huoni watuhumiwa wa Ubakaji wa yule Dada? Labda sio Tanzania ninayoijua.
Sababu anaenda kugombea Jimbo sehemu.Na Uteuzi wa leo kaambulia patupu....Pole sana kwake.
Wanayo mahakama ya kijeshi kabla ya kupelekwa mahakama za kiraia lazima wapelekwe mahakama ya kijesh wafukuzwe kazi kwanza au wasimamishwe kazi ndo wapelekwe mahakama za kiraia kujibu jinaiHawawezi kuwa nayo kwa sababu polisi sio chombo kinachojiamulia mambo yake hivyo lolote wanalofanya liko chini ya sheria na ni chombo cha dola(executive).
Unahukumiwa kijeshiiJwtz ukiua unaachiwa ?
Kwa ushahidi uliotolewa,sidhani kama watachomoka.utashangaa sana rufaa itawaachia
bongo Giza sana
View attachment 3380802
Ilianza hivi
View attachment 3380803
Ikaja hapa
View attachment 3380806
End .
Lesson kila ubaya utalipwa
Hawana ila hata JWTZ mahakama zao zina utaratibu wake maalum ila zinafanya kasi zaidi hasa wakati wa Vita.Wakati wa amani hazitumiki sana.Mkosaji anaweza hukumiwa mahakama za kiraiaIvi huwa hawana mahakama zao kama ilivyo kwa JWTZ?
Bado Samia naye ubaya lazima umrudie tu Mungu hadhihakiwi hata siku moja.Ubaya ubwela
Aliona dunia yote yake?Huyo Gillbert alikuwa na Roho mbaya sana kipindi cha magufuli alikuwa kwenye kikosi cha Task Force aliwaliza wahindi waarabu mamilion ya pesa acha laani zimtafune sasa
Samia Mchamungu weweBado Samia naye ubaya lazima umrudie tu Mungu hadhihakiwi hata siku moja.
Kwenye rufaa wote watachomokautashangaa sana rufaa itawaachia
bongo Giza sana
Chawa waliokuwa wanatumwa snzi za mzee Baba sasa wao wanafungwa wanaacha famila zo na maumivu.View attachment 3380802
Ilianza hivi
View attachment 3380803
Ikaja hapa
View attachment 3380806
End .
Lesson kila ubaya utalipwa
Hafi atakata rufaa kabla ya 2027 anachomokaHuyu jamaa tayari anaenda kufia gerezani kwa ujinga wake na tamaa
Wewe utakuwa ni muuaji kama alivyo yeye.Samia Mchamungu wewe
Payback!!View attachment 3380802
Ilianza hivi
View attachment 3380803
Ikaja hapa
View attachment 3380806
End .
Lesson kila ubaya utalipwa