Karla Jacinto: Msichana aliyebakwa mara 43,000

Nani alikua anahesabu? Kungine ni kwamba isingewwzekana katika jambo kama hill watu 30 waendelee kufanana tabia kwa angalau siku 3 mfululizo.
 
Yule wa Arusha chuo aliyekutwa kafa alibakwa na wangapi kwa siku akandei!
 
Nonsense kabsaa, kiafya angekua keshakufa muda sana....30 men per day ni sawa na mwanaume mmoja kila baada ya dk 45, alikua anakula nin na Analala vp....hizi ndizo exaguration of facts..
 
Back
Top Bottom