Karibuni tupeane Majina mazuri ya watoto

Karibuni tupeane Majina mazuri ya watoto

Hapo mie ningetupia kitu cha AN...kuna kitoto nlikua nafukuziaga kinaitwa AN nikashindwa mpaka leo nagugumia maumivu ya moyo bana arrrrgh.....

Labda ingenipunguzia machungu .....
mmh! AN wa wapi?
cc Nicas Mtei
 
Last edited by a moderator:
Tibanyendera, Tibaijuka, Tibabyekomya, Tibaigana,Tibanyenda, Tibanyenza.

Tiba
 
Back
Top Bottom