The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
:noidea::noidea::noidea:Thx swty hut
:noidea::noidea::noidea:Thx swty hut
:noidea::noidea::noidea:
Mkuu tumekutafuta vituo vyote vya polisi hatimaye umepatikana
Ngoja nikafunge:tape::tape::tape: nisiwe kama UVCCMdogo nini tena apo juu unataka kuvunja katiba?:help:
Mkuu tumekutafuta vituo vyote vya polisi hatimaye umepatikana
Karibu tena jamvini mkuuKamanda; nipo Mkuu, nilikuwa mafichoni najivua gamba Mkuu ili nijunde au nianze upya.
Pearl na wadau wengine kuwa natafutwa huku na mkuu wa jukwaa la wakubwa . . . lol
Nimesha report Mkuu.
Niaje?
Dah!!!mmh ungeniuliza mm I najua alikokuwa un sh ngapi nikwambie?
we are together (as one) you know....
:noidea::noidea::noidea:
Mkuu unapotea sana au uko busy na Muswada wa Katiba
mmh ungeniuliza mm I najua alikokuwa un sh ngapi nikwambie?
Amina Tuna mkaribisha Karibu tena!!!Wapendwa wangu wa MMU
weekend hiyo inachungulia chungulia
Kabla sijaendelea nimemomwama
mpenzi wetu PEARL amerudi karibu sana
mpendwa tumefurahi kukuona tena
pole kwa yote hopeful sala zetu zilikufikia..
Tuzidi kumwombea dada Sussy ili
Naye arejee kundini..
Mimi na rafiki yangu mmoja hapa JF
Tumempoteza rafiki
Wetu wa karibu sana siku tisa leo tangu atuage..
Bwana Ametoa Bwana Ametwaa Jina Lake Libarikiwe..
Nway wana JF nawatakia weekend njema
Upendo kitu cha muhimu na cha bure
kweli hatujui siku walaa saa ..
nawatakia upendo,amani na baraka zote weekend hii.
Amen
Haya wapendwa usiku mwema
mi nakitoa hivyo
PEarl mpenzi tutaonana baadaye
mama wa BUsara nataka kuongeanawewe kwa herufi kubwa
babu ASPRIN usipoteze meno na miwani tena..
Superman nice to c back
BE achakuandika kwa lugha ya machungwa
Klorokwin bado naumwa dawa yako mbovu sana
TF mpenzi .. try sleeping with a broken heart ..Alicia keys
Haya wapendwa usiku mwema
mi nakitoa hivyo
PEarl mpenzi tutaonana baadaye
mama wa BUsara nataka kuongeanawewe kwa herufi kubwa
babu ASPRIN usipoteze meno na miwani tena..
Superman nice to c back
BE achakuandika kwa lugha ya machungwa
Klorokwin bado naumwa dawa yako mbovu sana
TF mpenzi .. try sleeping with a broken heart ..Alicia keys
Dah!!!