The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Kudadadekii kitaani nasikia anasumbua sana ngoja nikaichukue leoHuna ishu...nimesikia unaendesha mchuma wa Fynest ndo unatamba ni wako!Wkend unapiga gongo au chang'aa?
Kudadadekii kitaani nasikia anasumbua sana ngoja nikaichukue leoHuna ishu...nimesikia unaendesha mchuma wa Fynest ndo unatamba ni wako!Wkend unapiga gongo au chang'aa?
Leo lazima nikuzukie labda ukimbie nayokhaaa! mama umechafua CV, omba razi kabla sijakata huduma za kukusambazia vocha. Halaf huyo ze finest ni hauzboy wa mitaa gani? mbna tunashushiana hazi bana
hehehe halaf ankal hiyo mikwala yako utazani kweli vile! hivi lile baskeli lako ushaweka spoki mpya?Kudadadekii kitaani nasikia anasumbua sana ngoja nikaichukue leo
Wale jamaa wa vyuma chakavu si wameondoka nayo hapa niko naongea na wanakijiji tufanye mkutano kesho waninunulie PHOENIX mpyahehehe halaf ankal hiyo mikwala yako utazani kweli vile! hivi lile baskeli lako ushaweka spoki mpya?
hehehe ankal usijali bana ndio maisha. Afazali ya wewe , Uporoto inasemekana hata TV anaangalia kwa jirani. CCM bana!Wale jamaa wa vyuma chakavu si wameondoka nayo hapa niko naongea na wanakijiji tufanye mkutano kesho waninunulie PHOENIX mpya
khaaa! mama umechafua CV, omba razi kabla sijakata huduma za kukusambazia vocha. Halaf huyo ze finest ni hauzboy wa mitaa gani? mbna tunashushiana hazi bana
Khaaa!!!! Hivi Hashycool kule boda ndio kwishnei kabisahehehe ankal usijali bana ndio maisha. Afazali ya wewe , Uporoto inasemekana hata TV anaangalia kwa jirani. CCM bana!
sasa si uhame mjini basi Lizzy, hivi CPU ameshindwa kukutaftia hata nokia tochi? khaaaa!Vocha za nini wakati simu sina?
CPU ule mkopo aliokopa SACCOS umemuishia kwahiyo hana ujanja tenasasa si uhame mjini basi Lizzy, hivi CPU ameshindwa kukutaftia hata nokia tochi? khaaaa!
tatizo haelewi kiingereza, hivyo maelewano hakuna kabisa baina yake na askari wa boda na ubalozi wa tanzania wamemkana wamesema sura yake anaonekana kama mkikuyu. Dah!Khaaa!!!! Hivi Hashycool kule boda ndio kwishnei kabisa
khaaaa! halaf jamaa namimi namdai pia ujue. Alitaka kumtoa Lizzy out akaniazima hela ya drinks, hajarejesha bana!CPU ule mkopo aliokopa SACCOS umemuishia kwahiyo hana ujanja tena
Nasikia Michelle ameenda kuokoa jahazi kaenda kuwa mkalimanitatizo haelewi kiingereza, hivyo maelewano hakuna kabisa baina yake na askari wa boda na ubalozi wa tanzania wamemkana wamesema sura yake anaonekana kama mkikuyu. Dah!
Alikuja kwangu kuniazima ile suruali yangu ya mchelemchele na lile shati la bahama wakati anaenda kumtoa out lizzy hajarudisha hadi leokhaaaa! halaf jamaa namimi namdai pia ujue. Alitaka kumtoa Lizzy out akaniazima hela ya drinks, hajarejesha bana!
Atii?Kwani simu ndo zinawaweka watu mjini?sasa si uhame mjini basi Lizzy, hivi CPU ameshindwa kukutaftia hata nokia tochi? khaaaa!
Na wewe pia??Nlidhani Kloro tu ndo mwenye chuki binafsi...haya bana endeleeni!Alikuja kwangu kuniazima ile suruali yangu ya mchelemchele na lile shati la bahama wakati anaenda kumtoa out lizzy hajarudisha hadi leo
Afro Denz upo Mkuu?
SugarcakeDahhhh yaani superman
tangu uwende kuwaokoa wale
wa katikati ya dunia
Ndo ukatusahau kabisa yaaani
khaaaa hiyo haikubaliki kabisaaa
hahahahahahahah lol
Mie nipo mpendwa hofu
na mashaka ni we uliembali na upeo
wa JF hahaha lol
vipi we mzima?
Dah!Duh!Never afraid to say what you want
coz u can only die once..
Love that signature..
nway pale pale pa siku ile..