Karibu Pearl tuakusubiri Sussy

Karibu Pearl tuakusubiri Sussy

niko mkuu wangu acha huu mswada tujue hatma yake ntakulazmishia bakadi moja ili nifurahi......lolz
Ahaaa ahaaa mkuu hiyo hapa aisee hebu tafuta Ballantines iweke ikae sawa
 
Haya wapendwa usiku mwema
mi nakitoa hivyo
PEarl mpenzi tutaonana baadaye
mama wa BUsara nataka kuongeanawewe kwa herufi kubwa
babu ASPRIN usipoteze meno na miwani tena..
Superman nice to c back
BE achakuandika kwa lugha ya machungwa
Klorokwin bado naumwa dawa yako mbovu sana
TF mpenzi .. try sleeping with a broken heart ..Alicia keys
:tape::tape::tape:
 
ah ah ah ukiwa bondia usiogope ngumi za uso,kwanza swty hut ipo mpaka kwenye lotion!
Mkuu utagombanisha watu hapa. Jamaa tunaheshimiana sana. Nimemsikia anakwita Sweetheart, sasa sisi wengine tunapenda amani, utulivu na mshikamano.
 
u beta put that woman first![QUOTE=The Finest;1859453]:tape::tape::tape:[/QUOTE]
 
ah ah ah naona unataka kujivua gamba au ww unalivua pendo?Bill on Constitution will be withdrawn[/QUOTE]
 
Haya wapendwa usiku mwema
mi nakitoa hivyo
PEarl mpenzi tutaonana baadaye
mama wa BUsara nataka kuongeanawewe kwa herufi kubwa
babu ASPRIN usipoteze meno na miwani tena..
Superman nice to c back
BE achakuandika kwa lugha ya machungwa
Klorokwin bado naumwa dawa yako mbovu sana
TF mpenzi .. try sleeping with a broken heart ..Alicia keys
khaaa! waswahili bana! hapo red lazima itakuwa kuna mpambe kapika majungu.
 
Embu anza hapa...ila njoo PieM!
hehehe nilijua tu warembo watagombania hii bahati ya kutongozwa na selebriti klorokwini. Yaani nimeloog in maPM ya kujishebedua kibao kutoka kwa kinadada. Acha nianze kuyajibu.
 
hehehe nilijua tu warembo watagombania hii bahati ya kutongozwa na selebriti klorokwini. Yaani nimeloog in maPM ya kujishebedua kibao kutoka kwa kinadada. Acha nianze kuyajibu.

Huna ishu...nimesikia unaendesha mchuma wa Fynest ndo unatamba ni wako!Wkend unapiga gongo au chang'aa?
 
Huna ishu...nimesikia unaendesha mchuma wa Fynest ndo unatamba ni wako!Wkend unapiga gongo au chang'aa?
khaaa! mama umechafua CV, omba razi kabla sijakata huduma za kukusambazia vocha. Halaf huyo ze finest ni hauzboy wa mitaa gani? mbna tunashushiana hazi bana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom