Karibu Pearl tuakusubiri Sussy

Karibu Pearl tuakusubiri Sussy

Dahhhh yaani superman
tangu uwende kuwaokoa wale
wa katikati ya dunia
Ndo ukatusahau kabisa yaaani
khaaaa hiyo haikubaliki kabisaaa
hahahahahahahah lol

Mie nipo mpendwa hofu
na mashaka ni we uliembali na upeo
wa JF hahaha lol
vipi we mzima?

AD mimi nipo pouwa na safari hii sikwenda kuokoa watu ila mafichoni nikijivua gamba.

Niliporudi nakutana na SM yu wapi? Mara naizimia Avatar ya AD na mambo kibao? Niaje jamaa anaizimia Avatar yako?

Ila long time sana . . . . u know . . .

Niaje mambo ya Rugby?
 
AD mimi nipo pouwa na safari hii sikwenda kuokoa watu ila mafichoni nikijivua gamba.

Niliporudi nakutana na SM yu wapi? Mara naizimia Avatar ya AD na mambo kibao? Niaje jamaa anaizimia Avatar yako?

Ila long time sana . . . . u know . . .

Niaje mambo ya Rugby?

hahahhhaah lol watu wali miss Superman sana ..
huyu jamaa ni mtu mzuri tu alipenda avatar ya AD
ina mvutia hahahah lol nimeshukuru sana lakini

Rugby moto Juuuu mkuu world cup inakuja kwa kasi zote
yaaani we acha tu .....
 
hahahhhaah lol watu wali miss Superman sana ..
huyu jamaa ni mtu mzuri tu alipenda avatar ya AD
ina mvutia hahahah lol nimeshukuru sana lakini

Rugby moto Juuuu mkuu world cup inakuja kwa kasi zote
yaaani we acha tu .....


Umeona Eeeee . . . Kwa kweli walinimiss, ila alonitafuta ni moja tu MR tena na Kyupi kinamaneno maneno fulani . . . . haaa haaaa halafu anamung'unya maneno tu . .

Kazi kweli kweli.

Jamaa anataka kujua kama Avatar yako inafanana na wewe afanye kweli. Duh! JF bana, zaidi ya uijuavyo.

Mambo ya Rugby nakuaminia wewe na Wakulu wa Nchi huko, najua mtachukua tu kama kawaida yenu. Au Bondeni kwa Madiba wataleta tabu?
 
mi pia nimemiss sana. Kuna mdada alikuwa anaitwa brandon nae sijui yupo wapi?
Namtafuta brandon jamani.

Mi nime miss Pearl jamani.
Husninyo tuanzishe search & rescue team
Maaana kuna watu wamepotea sana yaani..
 
yaaani Sis
hayo maneno sijui ndo matusi ya kienyeji
mfukunyuku aka Mfukunyuzi dahhhhhhh
itabidi tumbane The Finest atuambie maana yake....

We huyu mtu ana balaa huyu hata simwelewi mwenzenu. Leo alilala anawaza Birthday!!!!!!!!!!!!!!
 
We huyu mtu ana balaa huyu hata simwelewi mwenzenu. Leo alilala anawaza Birthday!!!!!!!!!!!!!!

hahahahahahahah lol
nimesoma kipande kile..
I real appreciate that tho..inaonyesha ni jinsi gani anajali watu ..
Hivi kimey, wiselady na superman wamepotelea wapi tu ????
 
hahahahahahahah lol
nimesoma kipande kile..
I real appreciate that tho..inaonyesha ni jinsi gani anajali watu ..
Hivi kimey, wiselady na superman wamepotelea wapi tu ????
Unajifanya hunioni eeh?
We si umenisusa siku hizi, kisa kesi hakuna tena!
 
Unajifanya hunioni eeh?
We si umenisusa siku hizi, kisa kesi hakuna tena!

Wala hata si hivyo lawyer wangu..
we siunajua tena deshi deshi alivyo ..
leo kanitunuku vizuri kweli tunafuraha ya ajabu
Kesho mmhh utanikuta njiani naenda lolliondo kutafuta
msaada kwa babu .. kwa hiyo kazi yako ipo ...

we mzima lakini Kitambo kidogo sjakuona.. 🙁
 
Wala hata si hivyo lawyer wangu..
we siunajua tena deshi deshi alivyo ..
leo kanitunuku vizuri kweli tunafuraha ya ajabu
Kesho mmhh utanikuta njiani naenda lolliondo kutafuta
msaada kwa babu .. kwa hiyo kazi yako ipo ...

we mzima lakini Kitambo kidogo sjakuona.. 🙁
Hebu mwambie arudishe ile signature yake ya zamni bana..
c unaikumbuka?
 
Hebu mwambie arudishe ile signature yake ya zamni bana..
c unaikumbuka?

hahahahahah ile harudishi hata n
ilie machozi ya uji wa ulezi...

siku hizi ametupanga tu anachagua apendae..
Hivi hujaona jinsi yule mdada alivyomchukua mbele ya
uso wangu ... Nlikuwa nakutafuta kwa udi na uvumba lakini sijui
ulienda wapi tu.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom