Karibu Msamvu Kituo kikubwa cha Mabasi Morogoro

Karibu Msamvu Kituo kikubwa cha Mabasi Morogoro

Glonecy mbona ya kawaida sana! Nahisi labda Mkuu atakuwa anaongelea Kibo Peak Hotel.. ingawa haiko karibu kihivyo na Jordan
Kibo hata hivyo ni ya chini ya kiwango... Kiukweli Moro hakuna nyota tano labda kidogo zenye ubora ni flomi na nashera
 
Pazuri sana.

Hongereni

Usafi huo hautadumu...Watanzania ndivyo tulivyo..patachafuka mpaka unakimbia....patajaa maganda ya miwa. ndizi, machungwa na wakati mwingine hata kinyesi....
 
Daa kweli pamependeza sana hapo.Inabidi sehemu nyingine waende kujifunza hapo.Wajitahidi masuala ya usafi ili pawe kuzuri siku zote
 
Stendi ya Msamvu ni nzuri.... sasa tugeukie ile ya mkoa ya Dar es Salaam, hivi hii kitu imekaaje?... Jiji kukosa stendi ya maana sio sahihi... mpango wa stendi ya mkoa umeishia wapi?!... Mwenye updates tafadhali...
 
Back
Top Bottom