Mwishowe patakuwa jangwa! palianza kuwa na miti,pakawa vumbi baadae sijui tu😀Heeee pamenoga!Mwaka 2009 palikuwa vumbi tupu.
Sasa hivi kama Athens .. Karibu sana Mkuu .. Hapo ukishuka tu utakutana na gwami hotel kingsway, midland na flomi hotel .. Ukitaka mwenyeji mm nipo ntakuliwazaaa mpaka lukwiri... Ukitaka kutalii utaelekezwa mikumi, selou n.k ukitaka kubalizi beach hapo sasa ndio utapelekwaHeeee pamenoga!Mwaka 2009 palikuwa vumbi tupu.