lutabingwa
Member
- Sep 24, 2014
- 5
- 0
na mimi naomba nijuzwe kozi ya logistics and transport managmnt
Huyu atakuwa mlinz pale maana anaulizwa maswali ajibu in maana hana uelewa wowote kuhus NIT
Jaman hivi hiki chuo majina bado hawajatoa tu....?? Naomba kujuzwa tafadhari.
2ko wng jombaa 2naoxubiria nit.
usimdharau ucyemjua..ok mi ni mlinz NIT bt nataka kusaidia vijana wenzangu waelimike wapate kaz bora wanitoe kwny ulinzi..wewe usiye ht na hyo kaz ya ulinz kinakuwasha nn..mbn baba ako anakusomesha kwa kaz yake ya kuzibua vyoo husemi..unaona walinz tu
poa...karib sana