Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Missing U Mwanyasi,
Uko Poa?
Yaani yule Dereva, kila siku lazima nimuote, sijui kaniwekea nini.

Juzi kaniuliza wanakuja lini tena?
Nimemwambia aje White Party kafurahi sana, jiandae kumuona tarehe 26.
Missing you too Madame B......!
 
Last edited by a moderator:
Kuna maeneo yametengwa for smoking, ila ni Sportman tu! Ondoa shaka!

Babu haw vijana hatari sana, kuna room nimeiona imeandikwa SMOKE WHATEVER U WHISH, nina wasiwas... na hiyo kitu.


Kumbe Filipo ananiingiza mkenge??

Hanipati ng'o....lol!!

Orodha yenyewe nimeona baadhi ya wapulizaji wapi halafu eti anataka kunipiga chenga la mwili!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom