Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
ame ni PM amesema nitamuhaibisha kwaiyo nisi mrushe hewani.
Mwambie aje chap
Mwambie aje chap
Chezea vitasa wewe
Kumbe we bado hujanijua vizuri,
Hii sura unaiona ni ya kuchezea vitasa??
Wanishangaza!
Hiyo kitu yenu hairuhusu hata wavuta bangi kweli??
Nitoe wasi wasi kwanza....
Babu DC!!
Tangu ameanza Erickb52 mi namuangalia tu, anakunywa maji akilamiza anaagiza Grandmalt mara Red bull ngoja nione awamu hii atakunywa nini!
Babu haw vijana hatari sana, kuna room nimeiona imeandikwa SMOKE WHATEVER U WHISH, nina wasiwas... na hiyo kitu.Hiyo kitu yenu hairuhusu hata wavuta bangi kweli??
Nitoe wasi wasi kwanza....
Babu DC!!
Hi!
Howz everything?
Jumapili njema!
ewaaa hapo sawa, maana zile jamii zingine alisema ameacha yeye siku hizi ni mpendwa hata ukisafiri waweza mkabidhi hata familia yako yote aitunze, Erickb52 sasa hivi unatunza ya nani?