Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Du! Hang!over ni noma!, niingie chit-chat pUB,kama nitabahatisha supu ya Nguruwe!!,,kaziniii nitazuga naumwa tena na nimepelekwa kwa Sangoma! Ili Boss asiwe na shauku ya kunijulia khali!
 
Shemeji wa mkopo samahan bhan nilikuwa huko REPUBLICA DE MAKONDE LAND, hakuna umeme kwa mwezi sasa, kasimu ka mchina kana zingua, sasa nipo mjini!

Nimeshakribia, dadangu FP sijawasiliana naye kitambo kidogo, ila najua humwezi coz shem wangu orijino anampa tender loving care, ila nimeumia kwa kushindwa kunialika pamoja na my wife Preta.
kakangu, kwa kifupi huyo Erickb52 hatuwezi dada zako wote...... baada ya mimi kumfungia vioo alihamiaga kwa Kipipi. kwa taarifa nilizoziacha ni kwamba naye alimtimua, sasa sijui aje athibitishe hapa kama nasema uongo
 
Last edited by a moderator:
kakangu, kwa kifupi huyo Erickb52 hatuwezi dada zako wote...... baada ya mimi kumfungia vioo alihamiaga kwa Kipipi. kwa taarifa nilizoziacha ni kwamba naye alimtimua, sasa sijui aje athibitishe hapa kama nasema uongo

Mdada meku MISS!!!
 
Back
Top Bottom