Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

hapo nimeangalia kweli nione sehemu au chumba cha kufanyia maombi mbona sikioni? na mhusika ni nani huko Remmy au Smile?
 
Last edited by a moderator:
Mhudumu!! Niletee Castle milk,ya baridi!! Mwambie huyo mchoma nyama anichomee nyama ya 2000,!!ooh! Samahani ivi wewe ndo unaitwa cacico karibu 2jumuike wote kama hutajari!
 
Last edited by a moderator:
Mhudumu!! Niletee Castle milk,ya baridi!! Mwambie huyo mchoma nyama anichomee nyama ya 2000,!!ooh! Samahani ivi wewe ndo unaitwa cacico karibu 2jumuike wote kama hutajari!

Hakuna nyama ya elfu 2, labda mshkaki!
 
Last edited by a moderator:
mbona sioni mhudumu hapa?
nahita hii kitu
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    1.9 KB · Views: 53
Back
Top Bottom