Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Status
Not open for further replies.
Hata kama asipopata nafuu ya kuyafanya hayo maendeleo,sis tulishasema na mwl alisema, watanzania wanahitaji mabadiliko, na muda wa mabadiliko ndio huu. LOWASA IKULU TUTAMPELEKA IVOIVO NA UGONJWA WAKE!

Sisi ni Magufuli tu.UKAWA ni balaa kubwa kwa nchi.nani asiyejua?
 
Nduguyangu tumia tu akili ndogo tu kuhusu utafiti wa Twaweza ,tume inasema wapiga kura ni m25 twaweza imehoji watu 1000+ achilia mbali vigezo vilivyotumika kuchagua hao watu . hivi watu1000 wanaweza toa taswira ya watu milion 25?
Mkuu, hata wajumbe wa lililokuwa Bunge la KATIBA ( Tanzania Kwanza) waliikataa Rasimu ya 2 ya Jaji Warioba kwa sababu ya idadi ndogo ya waliopiga kura. Mkuki kwa nguruwe kwa.....
 
hivi uko ikulu kuna nini mbona CCM imeshakaa ikulu kwa muda mrefu hivyo lakini bado tu wanaona ni dhambi kuwaachia wengine
 
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!
Pumba tu umeandika
 
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!

wapiga kura wengi mwaka huu wapo mijini, vijijini misafara ya bvr ilikuwa na wachache ukilinganisha na mijini
 
Umemuona huyo mama anatumbukiza kwa el
 
kwani makufuli ni mzima?. mabadiliko yanayotakiwa hapa ni kuwa ccm ikae pembeni kwani hawana jipya tena
 
Nawaona mnavyoufukuza upepo bila kuuona wala kuukamata Lowasa kuingia ikulu kwa kura za wanachi hilo msahahu kwasababu wananchi sasa hv wameamka washajua kwanza fisadi pili mgonjwa

Tutamuingiza kwa njia moja Kati ya hizi,Kura au barabarani.Watz tumeichoka ccm.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom