Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,570
- 284,110
- Thread starter
- #61
yuko wapi Makalla leo ?Kuna mijitu mnapenda sifa sana eti "Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi" ufanye nini wewe kiraka masikini wa Mungu!
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app