Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,601
- 235,480
Pale Ubungo kwenye interchange tulisikia pia sauti.Imefika hadi kwenye Tausi
Pale Ubungo kwenye interchange tulisikia pia sauti.Imefika hadi kwenye Tausi
Kwa hivyo wewe Lissu ndiyo chanzo chako cha elimu na maarifa?Anaeupiga mwingi'' ndo mtoza Kodi halisi, waziri wa pesa ni karani tu.-Lisu said jana while at katoro.
Usiwe mgumu kuelewa masuala Rahisi.
Simwelewagi huyu jamaaHilo lijamaa bana jana limemsifu huyo leo anasema kazomewa!
Jibu HOJA?Kwa hivyo wewe Lissu ndiyo chanzo chako cha elimu na maarifa?
Tatizo liko wapi,kama jana alimsifia na leo kazomewa ulitaka asiseme ukweli kuwa Mbwana leo amezomewa? Sukuma Gang mna ujinga mwingi sana.Hilo lijamaa bana jana limemsifu huyo leo anasema kazomewa!
Hiyo ni hoja au kihoja?Jibu HOJA?
Unapingana na Lissu Kwa HOJA zipi?
Huelewi chochote wafanya biashara wanawateja wao na biashara inaendelea fresh sema wanaoumia ni wa mwisho hukuSometimes wanawaendekeza tu
Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara
Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?
Waachwe wafunge mwaka mzima
Asante sanaAlly Hassan Mwinyi
Aboud Jumbe Mwinyi
Edward Lowassa
Prof Simon mbilinyi
Iddy Simba
ni wengi sana wamejiuzulu, hata Lazaro Nyalandu alishajiuzulu ubunge kupinga utawala wa JPM
Baada ya Katiba mpya utanielewa tuSimwelewagi huyu jamaa
Tatizo la kufunga mwaka mzima serikali itapoteza chanzo kikubwa cha mapato yake ya kikodi.Sometimes wanawaendekeza tu
Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara
Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?
Waachwe wafunge mwaka mzima
Huyu huwa hajui anataka nini? huwa ni kigeugeu. Subiri siku akimgeuka Boss wake Tundu LissuSi ulimsifu Jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi unafikiri katiba mpya italeta utakaso au uvuvio wa roho mtakatifu?
ngoja ije tuioneHivi unafikiri katiba mpya italeta utakaso au uvuvio wa roho mtakatifu?
Hakuna katiba nzuri kama ya ccm tangu mwanzo...lkn watu wake wameoza
Tatizo la kufunga mwaka mzima serikali itapoteza chanzo kikubwa cha mapato yake ya kikodi.
huwezi elewa maumivu ya wafanya biashar kam ww sio mfanya biasha na pia Sio lazima kila uzi uchangue kaka...Sometimes wanawaendekeza tu
Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara
Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?
Waachwe wafunge mwaka mzima
Chukua ukweli toka kwangu.
But serikali haiwez kufirisika just because ya kariakoo
Dawa pekee ni kuwacha wagome, then tuone Nani anapoteza zaidi ya mwenzake
huwezi elewa maumivu ya wafanya biashar kam ww sio mfanya biasha na pia Sio lazima kila uzi uchangue kaka...