Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,518
- 284,003
- Thread starter
- #121
[emoji38][emoji38][emoji38]Na mkileta ujinga hata leo J5 hatufungui, akili iwakae sawa
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]Na mkileta ujinga hata leo J5 hatufungui, akili iwakae sawa
Vipi mbowe mwenyeketi 20+,akipewa nchi ataachia kweli madaraka?Ally Hassan Mwinyi
Aboud Jumbe Mwinyi
Edward Lowassa
Prof Simon mbilinyi
Iddy Simba
ni wengi sana wamejiuzulu, hata Lazaro Nyalandu alishajiuzulu ubunge kupinga utawala wa JPM
nje ya madaVipi mbowe mwenyeketi 20+,akipewa nchi ataachia kweli madaraka?
Tunamuhitaji Magufuli arudi haraka sana, hawa wafanyabiashara wanakuwa na nguvu gani kuisusia serikali?Akizungumza na Wafanyabiashara wenzake wa Kariakoo, Ndugu Mbwana ambaye anatajwa kama kiongozi wa wafanyabiashara hao amewaasa Wafanyabiashara wote wafungue maduka yao kwa vile Waziri Mkuu alielekeza hivyo na kwamba Jumatano kutakuwa na Kikao kati ya Viongozi wa wafanyabiashara na Waziri Mkuu.
Baada ya kauli yake hiyo Ndugu Mbwana AMEZOMEWA KWA KISHINDO KIKUBWA hadi sauti ya wazomeaji kufika Magomeni na Feri, kuzomewa ni Ishara ya kukataliwa na ni aibu kwa aliyezomewa na kwa uungwana, ukishazomewa namna kama alivyozomewa Mbwana unapaswa kujiuzulu.
Ushauri wangu kwenye sakata hili ni huu hapa, Waliofunga maduka yao kusubiri kauli ya mwisho ya Serikali ambao ni 98.9 % waache wafunge hadi wanachosubiri kitimie lakini hao 1.1% ambao wamefungua maduka yao wasisumbuliwe
Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi, Mgogoro huu umeishavuka level ya Polisi, aache ngazi za juu ziutatue kwa weledi, Yeye anachopaswa kukifanya ni kuimarisha Ulinzi Baaaaasi.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Yaani unaongea kama unakula kiazi Cha moto!Sometimes wanawaendekeza tu
Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara
Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?
Waachwe wafunge mwaka mzima
Kelele za wafanyabiashara tumezisikia hapa kibaha Mailimoja.Hata mimi nilikuwa huku mitaa ya Mapinga - Bagamoyo nimesikia hizo sauti za wazomeaji![emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kelele za wafanyabiashara tumezisikia hapa kibaha Mailimoja.
Chief mbona unawa underestimate hapo kkoo kuna mitaji ya zaidi ya tillion mojaUnaafikiria karia koo ni wafanya biashara maskini;Bila Karia koo dar ingekuwa kama Morogoro. Mitaji ya hao wafanyabishara ni zaidi ya 1 bilion. Unafikiri kwanini majaliwa kawahi haraka kwenda kusikiliza. Anyways ukiajiriwa muda mrefu akili ina lala.
Yaani unaongea kama unakula kiazi Cha moto!
Kariakoo ni sehemu ya kuangaliwa kwa jicho la kipekee.
Mngekuwa na akili mngeitangaza Kariakoo kuwa kitovu Cha utalii wa shopping (duty_free).
Lakini kwa kuwa mnatenda kwa wivu, chuki na manyanyaso mnashindwa kufikiria miaka mingi mbele!!
Kugomea ni option nzuri sana. Ni haki yaoKuna secta nyingi zinafanya vizuri kama kariakoo au zaidi ya kariakoo
But kariakoo kuwa na hayo yote mnayosema hayawapi authority ya kugomea Agizo la waziri mkuu wa inchi
Huyo waziri mkuu wako na yeye afanye biashara hata wiki tu ili aone chamoto.Kuna secta nyingi zinafanya vizuri kama kariakoo au zaidi ya kariakoo
But kariakoo kuwa na hayo yote mnayosema hayawapi authority ya kugomea Agizo la waziri mkuu wa inchi
Akili huna kabisaHata kama kuna security base, hiyo security base si ya serikali?
Nyie Nani mpaka muwe na nguvu ya kumwita Rais?
Mnadekezwa sana