Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

Kariakoo mnatoa Bilion almost 300 Kwa mwaka

Tutapata sehemu zingine,

Nyie endeleeni kugoma

Hicho unachosemq sio sawa kibunda kingi kinatoka hapa na tunahudumia watu wa karibu nchi nzima mkuu
 
Abdu Jumbe Mwinyi hakujiuzulu badi aliaondolewa kwa shinikizo
Alijuzulu kutokana na shinikizo la ndani ya vikao

hata huko Duniani watu hujiuzulu kwa shinikizo hivyo shinikizo ndio msingi wa watu kujiuzulu
 
Sometimes wanawaendekeza tu

Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara

Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?

Waachwe wafunge mwaka mzima
Kwani rais ni nani asiende? Si anaishi Kwa Kodi na mishahara yao? Hao ndio boss wa huyo rais unaemsema wewe jitambie kwanza
 
Mleta mada, Ulisema na Wewe ni mmoja wa wafanya Biashara hapo K/koo,kuwa Mwenyekiti wao hao wafanyabiashara ili upewe ulinzi kama ulivyoshauri!
 
Sometimes wanawaendekeza tu

Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara

Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?

Waachwe wafunge mwaka mzima

Ungekua unajua uchumi usingeandika huu upumbavu
 
Mleta mada, Ulisema na Wewe ni mmoja wa wafanya Biashara hapo K/koo,kuwa Mwenyekiti wao hao wafanyabiashara ili upewe ulinzi kama ulivyoshauri!
Ndio maana nakaimishwa uongozi jioni hii halafu kesho naingia kwenye kikao na PM , Patamu hapo !

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Chukua ukweli toka kwangu.
Watanzania wa sasa ni wabovu wa mioyo sio ccm wala upinzani wote wabovu.

Katiba haitengenezi mioyo ya watu...
Rushwa itaendelea
Uonevu
Wizi
Ifisadi
Vitaendelea kuwepo tu

Siamini kama hii comment imetoka kwako mwana UFIPA kinda ndaki. Nini kimetokea braza? Ni "upako" umekushukia ama nini? 😁😁😁🖐
 
Sometimes wanawaendekeza tu

Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara

Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?

Waachwe wafunge mwaka mzima
Unaafikiria karia koo ni wafanya biashara maskini;Bila Karia koo dar ingekuwa kama Morogoro. Mitaji ya hao wafanyabishara ni zaidi ya 1 bilion. Unafikiri kwanini majaliwa kawahi haraka kwenda kusikiliza. Anyways ukiajiriwa muda mrefu akili ina lala.
 
Akizungumza na Wafanyabiashara wenzake wa Kariakoo, Ndugu Mbwana ambaye anatajwa kama kiongozi wa wafanyabiashara hao amewaasa Wafanyabiashara wote wafungue maduka yao kwa vile Waziri Mkuu alielekeza hivyo na kwamba Jumatano kutakuwa na Kikao kati ya Viongozi wa wafanyabiashara na Waziri Mkuu.

Baada ya kauli yake hiyo Ndugu Mbwana AMEZOMEWA KWA KISHINDO KIKUBWA hadi sauti ya wazomeaji kufika Magomeni na Feri, kuzomewa ni Ishara ya kukataliwa na ni aibu kwa aliyezomewa na kwa uungwana, ukishazomewa namna kama alivyozomewa Mbwana unapaswa kujiuzulu.

Ushauri wangu kwenye sakata hili ni huu hapa, Waliofunga maduka yao kusubiri kauli ya mwisho ya Serikali ambao ni 98.9 % waache wafunge hadi wanachosubiri kitimie lakini hao 1.1% ambao wamefungua maduka yao wasisumbuliwe

Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi, Mgogoro huu umeishavuka level ya Polisi, aache ngazi za juu ziutatue kwa weledi, Yeye anachopaswa kukifanya ni kuimarisha Ulinzi Baaaaasi.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Watafungua tu!
 
Unaafikiria karia koo ni wafanya biashara maskini;Bila Karia koo dar ingekuwa kama Morogoro. Mitaji ya hao wafanyabishara ni zaidi ya 1 bilion. Unafikiri kwanini majaliwa kawahi haraka kwenda kusikiliza. Anyways ukiajiriwa muda mrefu akili ina lala.

Mpumbavu huyo dada ndomana nimemwacha hana anachojua kabisa. Hajui impact ya kariakoo kwenye uchumi wa Tanzania
 
Unaafikiria karia koo ni wafanya biashara maskini;Bila Karia koo dar ingekuwa kama Morogoro. Mitaji ya hao wafanyabishara ni zaidi ya 1 bilion. Unafikiri kwanini majaliwa kawahi haraka kwenda kusikiliza. Anyways ukiajiriwa muda mrefu akili ina lala.

Hata makonda wa daladala wangegoma PM angeenda, coz hakuna mkubwa zaidi ya mwenzake

Kariakoo kuwa na wafanyabiashara wenye mtaji mkubwa haimaanishi wanaweza kupinga sauti ya mamlaka

Pm si kaenda Jana? Na akawaomba wafungue maduka, na mkutano mwingine ni kesho? Sasa kinachofanya Leo wasifungue ni kitu gani?

Why Jana walikubali mbele ya PM

Hata kama ikiwa wanachangia 80% ya pato la Tanzania hawana mamlaka ya kutotii agizo la waziri mkuu

Wamefanya ujinga
 
Mpumbavu huyo dada ndomana nimemwacha hana anachojua kabisa. Hajui impact ya kariakoo kwenye uchumi wa Tanzania

Kila secta ina impact kwenye uchumi

Sio kwamba kariakoo ndio secta inabust Sana uchumi wa tanzania hapana

Umeenda kwenye secta za utalii? Umeenda kwenye secta za madini? Umeenda kwenye secta za kilimo?

So wote tunategemeana

Na kama nyie ni wakubwa hivyo then vice angekuwa Yuko kariakoo leo
 
Back
Top Bottom