Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

Daaah we jamaa kkoo ikiwa imefungwa serikali hakuna inachopoteza?? Unaona waziri kaenda nanutaona raisi kaenda hapo ndo uchumi ulipo mkuu...!!!! Serikali inajua inachopata apo ndo sababu serikali macho yapo hapo....!!!! Jaribu kugoma hapo ulipo alafu utaipata habari yako..!!!!

Mm nikigoma kwenye office yangu watu wengi watakufa

Na sio kwamba kwenye office yangu hakuna changamoto zipo kibao tu

Sasa waziri mkuu amekuja, amewaomba Kwa dhati kabisa but mpaka Leo mnagoma huo ni utovu wa nidham

Rais akiamua anabomoa maduka yote hayo then panakuwa bwawa la samaki Tu,

Muhimu ni kuheshimu viongozi
 
Mm nikigoma kwenye office yangu watu wengi watakufa

Na sio kwamba kwenye office yangu hakuna changamoto zipo kibao tu

Sasa waziri mkuu amekuja, amewaomba Kwa dhati kabisa but mpaka Leo mnagoma huo ni utovu wa nidham

Rais akiamua anabomoa maduka yote hayo then panakuwa bwawa la samaki Tu,

Muhimu ni kuheshimu viongozi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa abomoe kkoo? Sisi tunataka raisi ndo aje hivi unajua kero za hawa TRA mkuu??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa abomoe kkoo? Sisi tunataka raisi ndo aje hivi unajua kero za hawa TRA mkuu??

Taasisi zote zina kero, kuna watu wanapasua wagonjwa hawana hata vifaa vya kujikinga mpaka na wao wanapata magonjwa mengine je hiyo sio shida kubwa? Tukigoma kufanya kazi si wagonjwa wengi watakufa ?

Sasa Rais kamtuma waziri mkuu, amekuja na amewaomba, na mkutano mkubwa ni kesho, then mpaka Leo mnagoma for what?

Kama hamuamini kauli ya waziri mkuu how mtaamini kauli ya Rais ?

Wazo Bora ni kuachwa wagome hata miaka 2 then tuone

Na Rais ikimpendeza maduka yote yavunjwe kuwe open space, kuna shida Sana ya parking mjini

Au tufuge samaki tu
 
Mm nikigoma kwenye office yangu watu wengi watakufa

Na sio kwamba kwenye office yangu hakuna changamoto zipo kibao tu

Sasa waziri mkuu amekuja, amewaomba Kwa dhati kabisa but mpaka Leo mnagoma huo ni utovu wa nidham

Rais akiamua anabomoa maduka yote hayo then panakuwa bwawa la samaki Tu,

Muhimu ni kuheshimu viongozi
Wacha weeee !!

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Sometimes wanawaendekeza tu

Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara

Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?

Waachwe wafunge mwaka mzima
Unajua wanaoendesha nchi kiuchumi ni wafanyabishara?

Hao ndo walipa kodi wakuu hasa eneo la Kariakoo ambako ndo kitovu cha biashara nchini.

Jinga kabisa wewe kushindwa kuelewa mambo madogo kama haya.

Unadhani hadi PM kwenda chap eneo la Kariakoo ni jambo dogo?
 
Sometimes wanawaendekeza tu

Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara

Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?

Waachwe wafunge mwaka mzima
Kuna la saba mwenzia kakudanganya kuwa kaliakoo ni pakununulia chupi .kama hujui nyamaza
 
Kuna dude linaitwa service levy, cjawah jua mbunifu wa hii kitu ni nani!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alafu halieleweki hiyo pesa niya nini!! Mimi wanakuja watu wa TBS eti wanakagua hapo mimi sipo.... wameomba tin wakapewa na leseni baada masaa3 sms inaingiq natakiwa kulipa laki3 TBS ya ukaguzi sasa sijui ukaguzi wa nn na sijalipa... mtu kama hafanyi biashara huwezi kuelewa hizo aise
 
Kuna la saba mwenzia kakudanganya kuwa kaliakoo ni pakununulia chupi .kama hujui nyamaza

Hata kama kuna security base, hiyo security base si ya serikali?

Nyie Nani mpaka muwe na nguvu ya kumwita Rais?

Mnadekezwa sana
 
Akizungumza na Wafanyabiashara wenzake wa Kariakoo, Ndugu Mbwana ambaye anatajwa kama kiongozi wa wafanyabiashara hao amewaasa Wafanyabiashara wote wafungue maduka yao kwa vile Waziri Mkuu alielekeza hivyo na kwamba Jumatano kutakuwa na Kikao kati ya Viongozi wa wafanyabiashara na Waziri Mkuu.

Baada ya kauli yake hiyo Ndugu Mbwana AMEZOMEWA KWA KISHINDO KIKUBWA hadi sauti ya wazomeaji kufika Magomeni na Feri, kuzomewa ni Ishara ya kukataliwa na ni aibu kwa aliyezomewa na kwa uungwana, ukishazomewa namna kama alivyozomewa Mbwana unapaswa kujiuzulu.

Ushauri wangu kwenye sakata hili ni huu hapa, Waliofunga maduka yao kusubiri kauli ya mwisho ya Serikali ambao ni 98.9 % waache wafunge hadi wanachosubiri kitimie lakini hao 1.1% ambao wamefungua maduka yao wasisumbuliwe

Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi, Mgogoro huu umeishavuka level ya Polisi, aache ngazi za juu ziutatue kwa weledi, Yeye anachopaswa kukifanya ni kuimarisha Ulinzi Baaaaasi.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kati ya watu hawa wawili, mzomewa na mzomeaji; ni yupi aliye na uwezekano mkubwa wa kuwa na shida kubwa kichwani?
 
Akizungumza na Wafanyabiashara wenzake wa Kariakoo, Ndugu Mbwana ambaye anatajwa kama kiongozi wa wafanyabiashara hao amewaasa Wafanyabiashara wote wafungue maduka yao kwa vile Waziri Mkuu alielekeza hivyo na kwamba Jumatano kutakuwa na Kikao kati ya Viongozi wa wafanyabiashara na Waziri Mkuu.

Baada ya kauli yake hiyo Ndugu Mbwana AMEZOMEWA KWA KISHINDO KIKUBWA hadi sauti ya wazomeaji kufika Magomeni na Feri, kuzomewa ni Ishara ya kukataliwa na ni aibu kwa aliyezomewa na kwa uungwana, ukishazomewa namna kama alivyozomewa Mbwana unapaswa kujiuzulu.

Ushauri wangu kwenye sakata hili ni huu hapa, Waliofunga maduka yao kusubiri kauli ya mwisho ya Serikali ambao ni 98.9 % waache wafunge hadi wanachosubiri kitimie lakini hao 1.1% ambao wamefungua maduka yao wasisumbuliwe

Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi, Mgogoro huu umeishavuka level ya Polisi, aache ngazi za juu ziutatue kwa weledi, Yeye anachopaswa kukifanya ni kuimarisha Ulinzi Baaaaasi.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kuna mijitu mnapenda sifa sana eti "Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi" ufanye nini wewe kiraka masikini wa Mungu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alafu halieleweki hiyo pesa niya nini!! Mimi wanakuja watu wa TBS eti wanakagua hapo mimi sipo.... wameomba tin wakapewa na leseni baada masaa3 sms inaingiq natakiwa kulipa laki3 TBS ya ukaguzi sasa sijui ukaguzi wa nn na sijalipa... mtu kama hafanyi biashara huwezi kuelewa hizo aise
Swadakta

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Chukua ukweli toka kwangu.
Watanzania wa sasa ni wabovu wa mioyo sio ccm wala upinzani wote wabovu.

Katiba haitengenezi mioyo ya watu...
Rushwa itaendelea
Uonevu
Wizi
Ifisadi
Vitaendelea kuwepo tu
Kwahiyo katiba ya kikundi cha ccm unailinganisha na katiba inayomgusa kila raia?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alafu halieleweki hiyo pesa niya nini!! Mimi wanakuja watu wa TBS eti wanakagua hapo mimi sipo.... wameomba tin wakapewa na leseni baada masaa3 sms inaingiq natakiwa kulipa laki3 TBS ya ukaguzi sasa sijui ukaguzi wa nn na sijalipa... mtu kama hafanyi biashara huwezi kuelewa hizo aise
Mfanyabiashara iweje alipe lak3 kama gharama ya ukaguzi TBS?

Ni sawa na msoma MITA, ya maji au Tanesco aje kuomba nauli Kwa mtumiaji. Haiwezekani.

Tuungane kudai KATIBA mpya itokanayo na Rasimu ya WARIOBA.

Mifumo hii ya Kodi kandamizi iliasisiwa tangu ukoloni.

Imagine ukienda TRA na kuwambia Kodi zao ziko juu na umeamua kufunga kampuni, unajibiwa funga tu, watakuja wengine.

Bring back our Rasimu ya WARIOBA 💪
 
Ally Hassan Mwinyi
Aboud Jumbe Mwinyi

Edward Lowassa
Prof Simon mbilinyi
Iddy Simba

ni wengi sana wamejiuzulu, hata Lazaro Nyalandu alishajiuzulu ubunge kupinga utawala wa JPM
Abdu Jumbe Mwinyi hakujiuzulu badi aliaondolewa kwa shinikizo
 
Tatizo liko wapi,kama jana alimsifia na leo kazomewa ulitaka asiseme ukweli kuwa Mbwana leo amezomewa? Sukuma Gang mna ujinga mwingi sana.
Sukuma gang wako upande wa wazomeaji ili serikali ya walamba asali izidi kudharauliwa…

Huyo atakuwa Msoga gang
 
Taasisi zote zina kero, kuna watu wanapasua wagonjwa hawana hata vifaa vya kujikinga mpaka na wao wanapata magonjwa mengine je hiyo sio shida kubwa? Tukigoma kufanya kazi si wagonjwa wengi watakufa ?

Sasa Rais kamtuma waziri mkuu, amekuja na amewaomba, na mkutano mkubwa ni kesho, then mpaka Leo mnagoma for what?

Kama hamuamini kauli ya waziri mkuu how mtaamini kauli ya Rais ?

Wazo Bora ni kuachwa wagome hata miaka 2 then tuone

Na Rais ikimpendeza maduka yote yavunjwe kuwe open space, kuna shida Sana ya parking mjini

Au tufuge samaki tu

Sasa mkuu wakigona kkoo huko hospital vifaaa vitanunuliwa vipi?
 
Back
Top Bottom