Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 16,227
- 22,841
Nilikuona jana kupitia Azam tv Ukiweweseka kuwaita watu uwanjani bila shaka hujui. Acha nikupasue na kukupa ukweli
1. kwakuwa wewe ni mwana CCM, ulifanya figisu hata kuwakataza wagombea wengine wasigombee kwa kuchukua endowsments zote bila haya wala AIBU jambo likapita na sasa wasubiri uchafuzi tu.
2. Karia wewe ulitumiwa na wana CCM kuahirisha mechi ya simba na Yanga hapo March 8 hili nina uhakika nalo 100% . ilikuwaje ilikuwa siku ambayo SAMIA alikuwa anahutubia Mwanza. LISU alikuwa mlimani city. alikuwa anazungumza juu ya NO REFORMS NO ELECTION, ili lisu ASISIKIKE Ukaahirisha mechi ili kwahamisha WATANZANIA na kweli ulifanikiwa hadi leo Lisu yupo ndani kwa kesi ambayo wewe na wana CCM wenzako mnaijua chanzo chake (ipo siku ukweli huu utawekwa wazi na kina MGOE). Hili nalo ni chanzo cha watu kutohudhuria mechi za CHAN kama huamini sikiliza miguno ya MASHABIKI WA YANGA kwa timu yao kuchangie lile tamasha la rushwa pale mlimani city juzi
3. figisu za uchaguzi hili nalo linasababisha, watu wanakuona wewe kama mtu mbinafsi uliyejawa na kiburi na tamaa ya madaraka (unawezaje kuwambia wanaokupinga wakacheze sinema zetu? ) kwani wanaocheza sinema zetu siyo watu? sasa nenda mwenyewe uwanjani watu hawaendi NG'OOOO
Ati unasema mpira unachezwa muda mbaya? TUMBO LAKO
Watanzania hawa wa leo siyo wale wa 1970
NO REFORMS NO ELECTI
1. kwakuwa wewe ni mwana CCM, ulifanya figisu hata kuwakataza wagombea wengine wasigombee kwa kuchukua endowsments zote bila haya wala AIBU jambo likapita na sasa wasubiri uchafuzi tu.
2. Karia wewe ulitumiwa na wana CCM kuahirisha mechi ya simba na Yanga hapo March 8 hili nina uhakika nalo 100% . ilikuwaje ilikuwa siku ambayo SAMIA alikuwa anahutubia Mwanza. LISU alikuwa mlimani city. alikuwa anazungumza juu ya NO REFORMS NO ELECTION, ili lisu ASISIKIKE Ukaahirisha mechi ili kwahamisha WATANZANIA na kweli ulifanikiwa hadi leo Lisu yupo ndani kwa kesi ambayo wewe na wana CCM wenzako mnaijua chanzo chake (ipo siku ukweli huu utawekwa wazi na kina MGOE). Hili nalo ni chanzo cha watu kutohudhuria mechi za CHAN kama huamini sikiliza miguno ya MASHABIKI WA YANGA kwa timu yao kuchangie lile tamasha la rushwa pale mlimani city juzi
3. figisu za uchaguzi hili nalo linasababisha, watu wanakuona wewe kama mtu mbinafsi uliyejawa na kiburi na tamaa ya madaraka (unawezaje kuwambia wanaokupinga wakacheze sinema zetu? ) kwani wanaocheza sinema zetu siyo watu? sasa nenda mwenyewe uwanjani watu hawaendi NG'OOOO
Ati unasema mpira unachezwa muda mbaya? TUMBO LAKO
Watanzania hawa wa leo siyo wale wa 1970
NO REFORMS NO ELECTI