GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Most Tanzanians are so desperate for something, anything.

Gwajima, Polepole, Captain Tesha.

Give them anything, they will bite.

And when you show them obvious contradictions that shows their pipe dreams, they will tell you off.

I already see the cheap ad hominem attacks flinged at you for simply pointing out facts.

Just because you refuse to entertain some ruse, emotional, non strategic rant.

Most people are so ready to get euphoric emotionally without any logical or strategic thinking.

Sometimes I think it is a coping mechanism, to cling to anything hopeful in a sea of hopelessness.

To a point where I ask myself, is it ethical to expose the holes in this hopeful disposition?
Kama hawa siyo ndugu wa mapacha, basi pengine mmoja ni 'clone' wa mwenzake!
Watu wamejaa 'pomposity' ya ajabu sana hawa; utadhani walizaliwa kwenye sayari yao pekee na kushushwa hapa kwa bahati mbaya!

Hata mjione tofauti vipi, safari hii CCM hawaponi.
Kama mnazo hisa zenu huko ndani ya CCM ni bora mziuze sasa hivi vinginevyo mtatoka mikono mitupu.

Hovyo kabisa.

Najuwa wote wawili hawanisomi, kwa sababu walisha nikimbia.
Wafikishieni ujumbe wao kwamba mapambano safari hii ni ya moto, na pengine wanajuwa hivyo ndiyo sababu ya michecheto yote hii inayowaleta hapa.

Iwe ni jeshi au wananchi, CCM na hasahasa Samia na Genge lake ni lazima wakipate cha moto.
 
Watu wanashabikia tu..alikuwepo JPM..watu walilia..kijeshi sijui wataliaje
Sasa nyinyi kwa utatu wenu mnataka watu waweje? Sasa hivi waTanzania hawalii chini ya hawa waovu?

Na kwa nini mlione jeshi kuwa baya kuliko takataka hizi zilizopo madarakani sasa?
Kuna kitu gani kinacho wafanya muone waTanzania hawawezi kufanya chochote bila ya CCM. Tuelezeni, mnataka nani awepo ndio waTanzania wasilie?
Watu wanashabikia tu..alikuwepo JPM..watu walilia..kijeshi sijui wataliaje
 
Kapteni anasema analiomba jeshi lichukue hatua kukomboa nchi! 😂


Sasa sijui analiomba jeshi gani wakati yeye ndiye Kapteni..?! 😂😂

Upuuzi mtupu!
Na wewe ni mpuuzi tu, kama ungemsikiliza vizuri usingetoa comment hii. Kifupi alikuwa anamu address CDF.
 
Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.

Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.

Watanzania nawajua vizuri mno.

Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.

Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.

Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.

Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.

Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?

Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.

Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.

Happy Sunday ✌️.
Chawa kalisha tako endelea kujipendekeza
 
"Kapteni Tesha" alisema atarudi tena. Sijui kwa mazingira ya KIJESHI alikuwa anamaanisha nini!
Aende wapi?
huyo kaamua tu apotee./apotezwe.
Kuna kanal mstaafu huko kote alikopita anapajua.
Ingawa sipigi kura wala sitoki tar zote
 
Ni sawa huyo sio kepten ni muhuni wa Bavicha lkn hebu tujiulize kwanini msemaji hajamkataa

Je huyu muhuni yupo kundi gani kati ya llotajwa na afisa habari

Walofukuzwa jeshi

Wanaojinasibisha na jeshi

Wenye tabia mbaya

Wanaharakati na siasa jeshini.
Mkuu na wewe unatumia VPN? Unajua kutumia VPN ni kumkataa mwenyekiti wako?
 
kigogo._.2014_1759163274_3732454529590427518_23859158508.jpg
 
Back
Top Bottom