Kama hawa siyo ndugu wa mapacha, basi pengine mmoja ni 'clone' wa mwenzake!Most Tanzanians are so desperate for something, anything.
Gwajima, Polepole, Captain Tesha.
Give them anything, they will bite.
And when you show them obvious contradictions that shows their pipe dreams, they will tell you off.
I already see the cheap ad hominem attacks flinged at you for simply pointing out facts.
Just because you refuse to entertain some ruse, emotional, non strategic rant.
Most people are so ready to get euphoric emotionally without any logical or strategic thinking.
Sometimes I think it is a coping mechanism, to cling to anything hopeful in a sea of hopelessness.
To a point where I ask myself, is it ethical to expose the holes in this hopeful disposition?
Watu wamejaa 'pomposity' ya ajabu sana hawa; utadhani walizaliwa kwenye sayari yao pekee na kushushwa hapa kwa bahati mbaya!
Hata mjione tofauti vipi, safari hii CCM hawaponi.
Kama mnazo hisa zenu huko ndani ya CCM ni bora mziuze sasa hivi vinginevyo mtatoka mikono mitupu.
Hovyo kabisa.
Najuwa wote wawili hawanisomi, kwa sababu walisha nikimbia.
Wafikishieni ujumbe wao kwamba mapambano safari hii ni ya moto, na pengine wanajuwa hivyo ndiyo sababu ya michecheto yote hii inayowaleta hapa.
Iwe ni jeshi au wananchi, CCM na hasahasa Samia na Genge lake ni lazima wakipate cha moto.