GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Ndio maana unajiita Nyani you belong to the jungle na sio Uraiani.. Fisadi mkubwa wewe ukusikia Tesha unatetemeka, mwisho wenu umekaribia...The End of Dynasty 🇹🇿
😀.

Hii ndo hewa yenyewe sasa ninayoizungumzia.

The captain got you and your ilk all gassed up and now you can’t think straight.

I know you people like the back of my hand.
 
Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.

Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.

Watanzania nawajua vizuri mno.

Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.

Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.

Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.

Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.

Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?

Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.

Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.

Happy Sunday ✌️.
Waache wewe upo ugaibuni huko unaweka machapishi tu. Kila mtu atapambana kwa nafasi yake.

Kama wewe umekimbia nchi na huna msaada wowote huko ulilo, waache wenyewe wajipambanie kwa njia wanayoona inafaa.

Ukondoo, umbuzi ama usimba na uchui wao watajuana.

Mhm kama binadam ambao tayar tunaushahidi juu ya ukombozi, vivyo hivyo uamini Tanzania nayo ni sawa tu na hizo nchi same kwa raia wake.

Binadamu habaki milele kwa tabia hizo hizo na mienendo ileile.

Kama ambavyo teknolojia imeingia na watu wameweza kuikubali na kuendelea kuenjoy.

Kizazi chako sio cha leo,wala kesho, wala kesho kutwa. Hulka ya binadamu huwezi kuipa dhamana.
 
Matumaini yapi ? Unajua wengi wakati mnafikra za level two watu tunawaza mpaka level three na huenda hawa ambao unaona hawakuungi kufika level two wanaelewa hata baada ya hio level two three bado ni worse na bila kuondoa root cause na kuendelea kutibu symptoms ni mwendo wa kubadilisha chupa na sio mvinyo....

That said kushangilia Jeshi / kufikiri jeshi ndio jawabu ni myopic thinking (military regime are worse na kama raia huku chini unaona kuna ubanaji wa demokrasia subiri uone jeshi)

Systems ndio mbovu na hakuna transparency na kwa sasa Rushwa imekuwa halali i.e. utamaduni wa kawaida unaokubalika na kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake (kwahio hata akitoka jambazi wa sasa atampa kijiti jambazi mwingine) no matter jina la huyo Jambazi au kama ni raia au mwanajeshi...; cha maana ni kuwa na utamaduni wa ku-deal na majambazi sambamba leo leo na sio kusubiri sijui nani baada ya miaka mitano au whatever ili atusaidia na majambazi (na hii inabidi ianzie kwenye shina, hata kama wewe ni mvuta mlungula kwenye kazi yako usijione mjanja - ni mdokozi tu.....

Pili; muendelezo ni uleule watu hawajikiti kwenye issues zinazomwandama mbangaizaji kitaa bali individuals au kundi fulani la watu (jambo ambalo watawala wanalitumia na kuendelea kulitumia kwenye divide and rule) - badala ya kupigana na matatizo mnapigana wenyewe as if mtu akivaa nguo fulani au akiwa initial ya Chama Fulani basi anakuwa Malaika au Shetani; Na akiongelea fulani mwizi unaona kama ni wa Imani sio yako unabadilisha vita vya kiuchumi kuwa vya Kiimani....

Kwahio kwa Jeshi kutokuchukua nchi ni a breath of fresh air; wanaonufaika na machakafuko yoyote huwa ni wengine waliopo karibu wanaopanda the ladder of chaos, huku downtroddens wakiendelea kuwa trodden upon.... The Circus Continues..
 
Waache wewe upo ugaibuni huko unaweka machapishi tu. Kila mtu atapambana kwa nafasi yake.

Kama wewe umekimbia nchi na huna msaada wowote huko ulilo, waache wenyewe wajipambanie kwa njia wanayoona inafaa.

Ukondoo, umbuzi ama usimba na uchui wao watajuana.

Mhm kama binadam ambao tayar tunaushahidi juu ya ukombozi, vivyo hivyo uamini Tanzania nayo ni sawa tu na hizo nchi same kwa raia wake.

Binadamu habaki milele kwa tabia hizo hizo na mienendo ileile.

Kama ambavyo teknolojia imeingia na watu wameweza kuikubali na kuendelea kuenjoy.

Kizazi chako sio cha leo,wala kesho, wala kesho kutwa. Hulka ya binadamu huwezi kuipa dhamana.
Umetoa hewa yako. Ahsante.
 
Maana yake kwako hata utawala wa kijeshi ni sawa tu.
Sasa hivi nchi ipo vitani. Maadui wa Tanzania ni Genge linaloongoza. Maadui wapo ndani ya nchi wameshika mifumo yote, nafasi zote za uongozi na kuziba njia zote za kidemokrasia za kuwaondoa madarakani.

Hawa maadui ni hatari kuliko hata Idd Amin, maadui wa nje. Wanauza nchi, bandari, misitu, mbuga, rasilimali za nchi kiholela na zingine kuchukua wenyewe kwa ubabe. Wanaua, kuteka,kutesa Watanganyika ukiwa na maoni tofauti na yao.

Wanatumia jasho, nguvu, kodi za Watanzania hovyo kwa manufaa yao binafsi na manufaa ya genge lao, sio kwa maslahi ya Taifa.

Wanafurahi kufungia mitandao ambayo inawapa kipato wananchi wengi. Maji, umeme, matibabu, usafiri ni shida, ajali kila siku, rushwa, ufisadi umekuwa kitu cha kawaida.

Hili genge linafanya haya maovu yote wakilindwa na Polisi, Mahakama, Bunge, TISS.

Hata jeshi likilinda mipaka ni kazi bure sababu nchi inauzwa na maadui wa ndani, hili genge linashambulia raia kila siku.

Jeshi halitakiwi kubaki neutral kwenye hali kama hii. Inabidi liwadhibiti hawa maadui wa ndani, kuwalinda raia, wazalendo ili kutoa nafasi kujenga nchi upya, mifumo mipya yenye manufaa, kuwalinda, kutoa haki kwa kila raia wa Tanzania. Hii ni moja ya kazi majukumu ya jeshi linalojitambua.
 
Hata mimi naliona, sisi watanzania kwa ujumla wetu kwa bahati mbaya sana tupo tu tunaenda na namna upepo unavyoenda. Usishangae hata kidogo kuona mistari iliyoshiba watu wakisubiri kupiga kura.
 
..
 

Attachments

  • images - 2025-04-06T170815.462.jpeg
    images - 2025-04-06T170815.462.jpeg
    49.9 KB · Views: 12
  • downloadfile-15.jpg
    downloadfile-15.jpg
    135.1 KB · Views: 10
  • images - 2025-03-30T151346.923.jpeg
    images - 2025-03-30T151346.923.jpeg
    24.1 KB · Views: 13
  • images - 2025-03-30T151155.234.jpeg
    images - 2025-03-30T151155.234.jpeg
    18.7 KB · Views: 11
  • images - 2025-03-30T151312.851.jpeg
    images - 2025-03-30T151312.851.jpeg
    35.1 KB · Views: 6
  • images - 2025-04-18T223508.093.jpeg
    images - 2025-04-18T223508.093.jpeg
    10 KB · Views: 13
.
 

Attachments

  • images - 2025-03-30T151155.234.jpeg
    images - 2025-03-30T151155.234.jpeg
    18.7 KB · Views: 10
  • images - 2025-03-30T152501.267.jpeg
    images - 2025-03-30T152501.267.jpeg
    10 KB · Views: 14
faraja ya muda mfupi
Ndiyo maana vyombo vya magharibi vimekaa kimya juu ya hili? Inaonekana, 'basket10' hana makando kando ya nchi za magharibi kama wengine. Na hii inaweza kuongeza 'legit' yake ! Na kukaa kwao kimya kwa weza kutafsiriwa huwenda wananufaika na kinachopingwa na 'basket10'.
 
Back
Top Bottom