GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Penye vita ama common interest, nchi mahasimu huungana kupambana na common enemy.

Kwenye mapambano watu hufurahia kupata allies wenye nguvu

Je, watanzania kikundi fulani chenye mlengo tofauti na serikali iliyopo, wakisherehekea uwepo wa masalia katika vyombo vya ulinzi ambao bado wanaamini tofauti na serikali iliyopo ambayo wao wenyewe hutegemewa kuilinda

Je hilo silo jambo la kufurahia

Ninachokisema, watu wanafurahia allies lakini kikubwa zaidi kama vyombo vya usalama ambayo ndivyo hutumika kuzima maandamano ama political unrests dhidi ya watawala,

Pale vinapoonesha kuwa upande wao inakuwa kama imewaondolea ngao watawala dhidi ya watesi wao.

Sasa kama hawapaswi kufurahia je, wanapaswa kuona ni sawa pale vyombo hivyo vinapokuwa na watawala???

Hili si suala la mapinduzi ya kijeshi. Ila kikundi flani cha wananchi kuona kuwa watu wanaopaswa kuwatisha na kuwasambaratisha, wapo upande wao. Kitu ambacho chaweza kuwa kweli ama la, ikitegemeana na ukubwa wa kundi lililopo nyuma ya captain tesha. That's all
Kufurahia allies wala si tatizo.

Tatizo ni kukosa nuance. Watu wana mentality ya all or nothing at all. Hero worship. Kutafuta mkombozi. Kutafuta silver bullet.

Ndiyo maana watu kama mimi au Nyani Ngabu tukija hapa na ku point out contradictions zinazooneshwa na habari ya kuwa euphoroc kwa video ya Kapteni Tesha, badala ya watu kukubali kuwa "Lakini kweli jamani, hapa tunamkubali Kapteni Tesha kwa hili na hili, lakini hili la kumsifia Magufuli na kumlilia is a red flag", hatuoni watu wengi kusema hilo.

Hatuoni watu wengi wakiwa na tatizo na dhana nzima ya utawala wa kijeshi.

Watu ndiyo kwanza wanataka wanajeshi wachukue nchi.

Utawala wa kijeshi si wa kidemokrasia.

Sasa watu wanadai demokrasia kwa kukumbatia utawala wa kijeshi?

That is a contradiction.
 
Sijakubagua kwa namna yoyote, lakini jambo hilo haliondoi ukweli kwamba wewe ni mkimbizi( sababu za kuwa mkimbizi unazifaham mwenyewe). Hata hivyo, inapokuwa wewe unatoa matamshi ya kuwaita Watanzania desperate, huku ukiwa mbali na uhalisia wa maisha yao, unajinyima moral authority ya kuzungumzia hali ya wananchi. Unasikia na kuona kutoka mbali, lakini huwezi kuelewa kwa undani kile wanachopitia. Kama kweli una hoja za maana kuhusu nchi yetu, njoo Tanzania uziseme hadharani badala ya kutoa maneno ya dharau ukiwa umejificha katika nchi za watu wengine
Ukishatoa hoja kuwa mimi ni mkimbizi tu niwaachie mambo yenu tayari ushanibagua kwamba sipaswi kuchangia kwenye mambo yenu.

Sasa hapo utasemaje hujanibagua?

Hoja ya "wewe uko mbali" haina mashiko. Kwa sababu mtu aliye mbali anaweza kuelewa na kuwa na hoja nzuri kuliko aliye karibu.

Natoa mfano mkali, si kwa kutaka kuwabagaza, bali kwa kutaka ku illustrate point. Mifano mikali inaweza kuchora picha vizuri zaidi.

Inawezekana nyie mlio karibu hapo mpo karibu na choo. Mmevita hewa ya mavi mpaka mmeizoea, hamjui hii ni hewa chafu.

Mnahitaji ntu anayetoka mbali anayevuta hewa safi aje hapo na kuwaambia hii hewa mnayovuta hapa si ya kawaida, inanuka mavi, ni uchafu, safisheni.

Wanasema kukaa karibu na msikiti si kuijua dini.

Jadili hoja, usimjadili mtoa hoja.

Kumjadili mtoa hoja negatively badala ya kujadili hoja ni kukosa hoja, ni logical fallacy.

Ad hominem logical fallacy.
 
Ukishatoa hoja kuwa mimi ni mkimbizi tu niwaachie mambo yenu tayari ushanibagua kwamba sipaswi kuchangia kwenye mambo yenu.

Sasa hapo utasemaje hujanibagua?

Hoja ya "wewe uko mbali" haina mashiko. Kwa sababu mtu aliye mbali anaweza kuelewa na kuwa na hoja nzuri kuliko aliye karibu.

Wanasema kukaa karibu na msikiti si kuijua dini.

Jadili hoja, usimjadili mtoa hoja.

Kumjadili mtoa hoja negatively badala ya kujadili hoja ni kukosa hoja, ni logical fallacy.

Ad hominem logical fallacy.
1000242889.jpg

Ww bakia na msimamo wako,
Huu ni muda wa kulipambania taifa haijalishi inatumika silaha Gani, lkn acha kabisa kuwaita watanzania desperate, waache wandelee kuipigania nchi yao kwa njia ambazo wanaimani zitawasaidia.
Unfortunately, hoja Yako Haina msaada wowote katika kulikomboa taifa hili.
 
hiii lugha
Most Tanzanians are so desperate for something, anything.

Gwajima, Polepole, Captain Tesha.

Give them anything, they will bite.

And when you show them obvious contradictions that shows their pipe dreams, they will tell you off.

I already see the cheap ad hominem attacks flinged at you for simply pointing out facts.

Just because you refuse to entertain some ruse, emotional, non strategic rant.

Most people are so ready to get euphoric emotionally without any logical or strategic thinking.

Sometimes I think it is a coping mechanism, to cling to anything hopeful in a sea of hopelessness.

To a point where I ask myself, is it ethical to expose the holes in this hopeful disposition?
hii lugha ya malkia imenyooka kushinda hata ya mwalimu wangu wa English wakati nasoma shule ya kwenda asubuhi na kidumu cha maji ,fagio,miiba+minyaa(kwa ajili ya kuweka uzio fensi),mbolea,majembe,mafyekeo (UTAFIKIRI UNAENDA VITANI)kumbe unaenda shuleni
,na unatembea kwa mguu,viatu unavaa,kaptula ,shati vyote ni ova size mzazi akinunua utakuwa navyo madarasa yote mpaka unamaliza shule navyo.

..ndio hii NGELI huku uswahili tunaita jamaa anatema YAI anabong'a UN'GEN'GE..
 
Haiwezekani jeshi kuchukua Nchi halafu eti liwape mara technocrats mara raia baada ya miezi 18.. labda kama unamaanisha baada ya miaka 18.

Mbona hizi analysis tunazifanya kwa kutoka vitabuni badala ya kuangalia best practises?

Museveni alivyochukia Nchi - aliachia bqada ya miezi 18?
Dojmbia alivyochukia Nchi - aliachia?
Traore hajamaliza miezi 18?
Kagame je?
Kabila je?
Kule Syria - Al Sharaa je?

Siku, Jeshi likichukua Nchi nyie ndio mtakuwa wa kwanza kuja kulalamika humu.....

Hatari nyingine ya Nchi yetu namna ilivyo; Jeshi likichukua nchi inaweza kuwa kama DRC (jeshi kukontrol ipnde mmoja, waasi kucontrol upande mwingine, na kambi nyingine ndogondogo kuckntrol pande fulani fulani; ni ngumu kuicontrol Jamhuri yote ya Muungano kijeshi kuanzia Zanzibar, kuja Dar es Salaam na kuweza kuntrealize kambi zote zilizopo kanda zote kuanzia kaskazini, lake zone hadi west hadi kusini....

Kuna factors nyingi sana za kufikiri kuliko hivi unavyofikiri kiwepesi. Ndiyo maana hata kina Capt. Tesha kama wana mpango huo wanajaribu kutafuta uungwaji mkono wa Nchi nzima kwa kuongea ongea- jambo ambalo ni gumu sana pia.
Usikariri, Tanzania siyo Rwanda, Syria, DRC. Ni muhimu kuisafisha hii nchi na kuondoa uchafu wote unaotuongoza sasa hivi. Tunapoendelea na huu utawala wa "kidemokrasia" machafuko hayazuiliki hivi karibuni.

Demokrasia ya genge la wahuni kufanya ufisadi bila kusumbuliwa na kulindwa na bunge, mahakama, polisi, tume haina tija.

Majority hawapendezwi na yanayoendelea. Hawana mbadala, njia rafiki kueleza kutopendezwa kwao.

Demokrasia ni nini, kama wengi wanaotaka haki, uwajibikaji wanapuuzwa, kutekwa na kuuwawa, kutupwa magereza.
 
View attachment 3483738
Ww bakia na msimamo wako,
Huu ni muda wa kulipambania taifa haijalishi inatumika silaha Gani, lkn acha kabisa kuwaita watanzania desperate, waache wandelee kuipigania nchi yao kwa njia ambazo wanaimani zitawasaidia.
Unfortunately, hoja Yako Haina msaada wowote katika kulikomboa taifa hili.
Unamjibu wa nini huyo amejaa ujuaji sana.

Ukimjibu unampa bichwa anadhani points zake zina uzito.

Mwache ajifie kwa upweke huko Ulaya.
 
Kuna mmoja hapa atabutuliwa mpaka ajambe.

Usiseme nimesema ni Nyani Ngabu

Ukiwa na Kiranga bila akili utabamizwa kama ngoma.

Halafu wanaojifinya kupinga wote wako Ulaya wanafua soksi za vichaa kwa ujira wa dola.

Hebu wakende huko. Viva Captain Tesha.

TES

Huyu Nyani Ngabu anaona gere, anatamani yeye ndie angekuwa shujaa na mkombozi kama Tesha.

Tesha ni kidume, ana watu wenye maarifa na silaha nyuma yake. Ana nguvu ya kweli na ya uhakika.

Nyani Ngabu ana maboksi ya keki na maneno matupu yasiyo na athari yoyote.

Huwezi kuikomboa nchi kwa maboksi ya keki na ntantarira na maneno mpechempeche yasiyo na ujazo wowote.

Husda za Nyani Ngabu zinaongozwa na Kisirani chake tu na kutaka kujiona ana mawazo bora kuliko Kepteni Tesha.

Ajitokeze kama mwanaume kweli. Atabinywa mpaka ajute.

Kama anabisha amuulize shosti ake

Unamjibu wa nini huyo amejaa ujuaji sana.

Ukimjibu unampa bichwa anadhani points zake zina uzito.

Mwache ajifie kwa upweke huko Ulaya.
Huyo atabakia kuwa mkimbizi tu na Hana moral authority ya kuwapangia watanzania namna ya kupigania ukombozi wa TAIFA letu.
 
Usikariri, Tanzania siyo Rwanda, Syria, DRC. Ni muhimu kuisafisha hii nchi na kuondoa uchafu wote unaotuongoza sasa hivi. Tunapoendelea na huu utawala wa "kidemokrasia" machafuko hayazuiliki hivi karibuni.

Demokrasia ya genge la wahuni kufanya ufisadi bila kusumbuliwa na kulindwa na bunge, mahakama, polisi, tume haina tija.

Majority hawapendezwi na yanayoendelea. Hawana mbadala, njia rafiki kueleza kutopendezwa kwao.

Demokrasia ni nini, kama wengi wanaotaka haki, uwajibikaji wanapuuzwa, kutekwa na kuuwawa, kutupwa magereza.
Maana yake kwako hata utawala wa kijeshi ni sawa tu.

Basi tuishi Mkuu. Hiyo siku nayo itafika. Hatuna sababu ya kubishana mtandaoni.
 
View attachment 3483738
Ww bakia na msimamo wako,
Huu ni muda wa kulipambania taifa haijalishi inatumika silaha Gani, lkn acha kabisa kuwaita watanzania desperate, waache wandelee kuipigania nchi yao kwa njia ambazo wanaimani zitawasaidia.
Unfortunately, hoja Yako Haina msaada wowote katika kulikomboa taifa hili.
Sasa unaniambia nibaki na msimamo wangu.

Msimamo wangu ni kwamba Watanzania wengi, kwa kuangalia habari hii ya Kapteni Tesha angalau, wako desperate. Hawana logical consistency. Hawana high standard. Wana compromise mambo ya msingi kirahisi. Wana sacrifice core principles kwa sababu ya a little temporary security and convenience.

Halafu unaniambia nisiwaite Watanzania desperate.

Huoni kwamba unaji contradict hapo kwa kuniambia nibaki na msimamo wangu, halafu hutaki nibaki na msimamo wangu unanilazimisha nifuate msimamo wako?
 
Haya ni mawazo yako bado. Sidhani kama kuna mtu kapewa tumaini hapa. Watu walishasema watafanya maandamano kabla hata ya hotuba ya captain. Tesha kasema yake na anachokiamini na wananchi wana vyao.

Kitu nakupa sasa ambacho ni cha kweli. Nikiwa na akili zangu timamu nasema hivi nchi hii itakuja kupinduliwa na sio muda mrefu na hakuna wa kuzuia(usiniulize muda lakini liko karibu sana, inaweza hata isiwe mwaka huu, tunza hii comment kama unadhani uongo)
Naunga mkono hoja
 
hiii lugha
hii lugha ya malkia imenyooka kushinda hata ya mwalimu wangu wa English wakati nasoma shule ya kwenda asubuhi na kidumu cha maji ,fagio,miiba+minyaa(kwa ajili ya kuweka uzio fensi),mbolea,majembe,mafyekeo (UTAFIKIRI UNAENDA VITANI)kumbe unaenda shuleni
,na unatembea kwa mguu,viatu unavaa,kaptula ,shati vyote ni ova size mzazi akinunua utakuwa navyo madarasa yote mpaka unamaliza shule navyo.

..ndio hii NGELI huku uswahili tunaita jamaa anatema YAI anabong'a UN'GEN'GE..
Umeelewa lakini? 😂😂😂
 
Maana yake kwako hata utawala wa kijeshi ni sawa tu.

Basi tuishi Mkuu. Hiyo siku nayo itafika. Hatuna sababu ya kubishana mtandaoni.
Nimeeleza hapo juu kwa kirefu. Ni utawala wa mpito wa kiraia wa Technocrats, wataalamu, wabobevu, wazalendo wakiongozwa na mtu kama Warioba kwa muda mfupi kuweka mambo sawa.

Nyuma yake jeshi jeshi lipo kuhakikisha wahuni, mafisadi, majambazi hawajuhumu mchakato wa kujenga nchi mpya yenye usawa, haki, uwajibikaji.

Unafikiri Samia angekuwa Rais kama sio kukingiwa kifua na Mabeyo, jeshi kuwa nyuma yake.

Nazungumzia kwa sasa jeshi lisimame nyuma kuwalinda wazalendo, haki, rasilimali za taifa, mchakato wa kujenga nchi inayojali kila Mtanzania badala ya kumlinda Samia na genge lake.
 
Tusubiri arudi tena ndio tupate hitimisho, kwasasa kusema haya ni mapema mno, ukiona mpya juu ya mti, lazima kuna mtu au watu nyuma yake. Tusipuuze
 
Kapteni Twsha anataka kuwarudisha kwenye u Magufuli. Kamlilia sana Magufuli. Kasema anampenda sana Magufuli.

Maana yake hakuona baya kwenye utawala wa Magufuli.

Nawashangaa sana.

Hawa Watanzania wanaopinga serikali ya Samia inayovunja demokrasia, inayobariki utekaji, ndio hao hao wanashangilia mapinduzi ya kijeshi yanayochagizwa na Kapteni Tesha anayemsifia sana na kumlilia Magufuli, aliyeasisi mfumo wa kununua wanasiasa wapinzani, aliyebariki utekaji wa watu?

Kapteni Tesha kamsifia na kumlilia sana Magufuli.

Hawa Watanzania wanaomsifia Kapteni Tesha hawapendi serikali kandamizi au hawampendi Samia tu?

Wanataka Tanzania mpya ya kuturudisha kwenye u Magufuli?

Hawaoni contradiction hapo?
Nimekuuliza, kwa namna hali ilivyo sasa hivi, unaweza kwenda kupanga mstari kupiga kura?
 
nielewe wapi naokotoza
Umeelewa lakini? 😂😂😂
nielewe wapi baba, naokoteza okoteza neno moja moja najizoa zoa..aisee shule za ENGLISH MEDIUM za mabasi ya njano..zinasaidia naona wanangu akina junior nao wanagusa gusa wanadonoa donoa wanatema yai....japo tatizo naloliona HATA WALIMU WAO wanaowafindisha akina mwajuma nao ni kama mimi tu,ila wanajitahidi sio sawa na kumpeleka zile shule zetu za kata za kwenda na mapanga shuleni,mafyekeo,shoka ,madumu ya maji,mafagio..
kuna utofauti shule za english medium kama mzazi una uwezo mpeleke mtoto HUTOJUTA kumpeleka shule ya english medium mwanao kama unauwezo.
 
Huyo atabakia kuwa mkimbizi tu na Hana moral authority ya kuwapangia watanzania namna ya kupigania ukombozi wa TAIFA letu.

Jadili hoja, usijadili mtoa hoja.

Kijadili mtoa hoja kwa kashfa ya "huyu ni mkimbizi tu" ni logical fallacy, ad hominem logical fallacy.

Kuna logical consistency fulani inakosekana hivi. It irks me when logical consistency is violated willy nilly.

Kuna makosa fulani alifanya Magufuli akapewa pass, hata akatetewa ananyoosha nchi. Hayohayo anafanya Samia anashambuliwa vibaya sana.

Sasa nyie mnapinga haya makosa au hamumpendi Samia tu?

Nilitegemea wanaharakati wa demokrasia waoneshe contradictions kwenye suala zima la kumsifia Kapteni Tesha si tu kwa sababu ni mwanajeshi anayechochea mapinduzi ya kijeshi, jambo linalopingana nandemokrasia, bali pia kwa sababu kamsifia sana Magufuli.

Ila watu wanamsifia Kapteni Tesha bila kuona tatizo.

People see what they want to see, not what is there to be seen.
 
Hili linaweza kuwa kweli , usishangae watu wakijitokeza kupiga kura kwa wingi , vilaza ni vilaza tu.
Hata mimi naliona, sisi watanzania kwa ujumla wetu kwa bahati mbaya sana tupo tu tunaenda na namna upepo unavyoenda. Usishangae hata kidogo kuona mistari iliyoshiba watu wakisubiri kupiga kura.
 
nielewe wapi naokotoza
nielewe wapi baba, naokoteza okoteza neno moja moja najizoa zoa..aisee shule za ENGLISH MEDIUM za mabasi ya njano..zinasaidia naona wanangu akina junior nao wanagusa gusa wanadonoa donoa wanatema yai....japo tatizo naloliona HATA WALIMU WAO wanaowafindisha akina mwajuma nao ni kama mimi tu,ila wanajitahidi sio sawa na kumpeleka zile shule zetu za kata za kwenda na mapanga shuleni,mafyekeo,shoka ,madumu ya maji,mafagio..
kuna utofauti shule za english medium kama mzazi una uwezo mpeleke mtoto HUTOJUTA kumpeleka shule ya english medium mwanao kama unauwezo.
Mkuu,

Wawekee watoto msingi mzuri. Halafu wajengee utamaduni wa kusoma vitabu vya Kiingereza vitawajenga sana.

Hapa tunapiga longolongo nyingi za siasa lakini hata kwenye siasa nimegundua Kiswahili kinatuangusha sana.

Tanzania imekuwa kama kisiwa kwa sababu watu wengi hawajui Kiingereza.

Na watawala wanatumia ujinga huu kama mtaji wa kuendelea kutawala.

Kiingereza hatuwezi kukwepa umuhinu wake.
 
Back
Top Bottom